Joeli
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 4,941
- 3,414
asubuhi tumeshuhudia chief-mkwawa akituletea uzi kuhusu nokia x na ndugu zake ambao wamezinduliwa leo, kabla siku haijaisha tayari samsung galaxy s5 tuliyokuwa tunaisubiri kwa hamu imefika
kwa haraka haraka sifa za hii kitu mpya ni
display ni 5.1 inches ambayo imeizidi kiasi s4, lakini ni 1080p, kioo ni Super AMOLED ambayo haina tofauti saaana na s4. chini ya home key kuna fingerprint scanner na capacitive keys kwa ajili ya multitasking pamoja na back button
simu hii ni vumbi proof na water proof unaweza izamisha kwenye maji yenye kina cha futi tatu kwa nusu saa bila kuingia maji
S5 inakuja na 2.5GHz quad-core processor, ina 3GB RAM , snapdragon 800 prosesa na inakuja na android 4.4.2 kitkat
improved touchwiz ui pia na knox security system. ina ultra power saving...
camera: 16megapixel
namuachia chief-mkwawa studio namba mbili aendelee na uchambuzi wa flagship hii ya samsung
picha kwa hisani ya : theverge
kwa haraka haraka sifa za hii kitu mpya ni
display ni 5.1 inches ambayo imeizidi kiasi s4, lakini ni 1080p, kioo ni Super AMOLED ambayo haina tofauti saaana na s4. chini ya home key kuna fingerprint scanner na capacitive keys kwa ajili ya multitasking pamoja na back button
simu hii ni vumbi proof na water proof unaweza izamisha kwenye maji yenye kina cha futi tatu kwa nusu saa bila kuingia maji
S5 inakuja na 2.5GHz quad-core processor, ina 3GB RAM , snapdragon 800 prosesa na inakuja na android 4.4.2 kitkat
improved touchwiz ui pia na knox security system. ina ultra power saving...
camera: 16megapixel
namuachia chief-mkwawa studio namba mbili aendelee na uchambuzi wa flagship hii ya samsung
picha kwa hisani ya : theverge