real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Koffi Asilenu , raia wa Ghana ni baba wa watoto 100 na wake 12 na anafikiria kuongeza wengine
Ana miaka 80 na kazi yake ni mkulima watoto wake wana umri kuanzia miaka 50 hadi miaka 11
Anasema hana kaka wala wajomba hivyo ameamua kuwa na watoto wengi ili wampe mazishi ya kufana
Ameweza kuilea familia yake kwa kuwa alikuwa tajiri zamani, ila kwa sasa watoto wake humsaidia.
Mke wa kwanza wa mzee huyo anasema wake wenza wote wamekubali utaratibu uliopo, mmoja wa watoto wake ambaye ni polisi amesema licha ya kuwa mmoja ya watoto wengi ila hakukosa elimu rasmi na sasa anawasaidia watoto wake
Ana miaka 80 na kazi yake ni mkulima watoto wake wana umri kuanzia miaka 50 hadi miaka 11
Anasema hana kaka wala wajomba hivyo ameamua kuwa na watoto wengi ili wampe mazishi ya kufana
Ameweza kuilea familia yake kwa kuwa alikuwa tajiri zamani, ila kwa sasa watoto wake humsaidia.
Mke wa kwanza wa mzee huyo anasema wake wenza wote wamekubali utaratibu uliopo, mmoja wa watoto wake ambaye ni polisi amesema licha ya kuwa mmoja ya watoto wengi ila hakukosa elimu rasmi na sasa anawasaidia watoto wake