Ni jambo la khatari sana ndugu kukuta katika jamii yetu hii kuna mtu ana fikra hasi kama hizi.Tena anatung'ang'aniza kwa mifano yake hai kuwa angekuwa unyamwezini wanathamini sana kufanana na mtu sasa sio janga hili ndugu yangu?Nimecheka sanaaa
Hili janga na maafa pia,ndo mana namuombea Donald Trump azibe mianya ya panya kukimbilia Marekani.Ni jambo la khatari sana ndugu kukuta katika jamii yetu hii kuna mtu ana fikra hasi kama hizi.Tena anatung'ang'aniza kwa mifano yake hai kuwa angekuwa unyamwezini wanathamini sana kufanana na mtu sasa sio janga hili ndugu yangu?
Ni khatari sana kama katika jamii yetu kuna watu wana mawazo hasi kama haya.Hili janga na maafa pia,ndo mana namuombea Donald Trump azibe mianya ya panya kukimbilia Marekani.
Anafanya muziki wa Rap, amekuwa akifananishwa na tupac mara kwa mara lakini amelelamika kutopata deals kutokana na muonekano wake huo lakini ana ndoto za kwenda ulaya kumuigiza siku moja
Ha haaaaaSerikali iwekeze katika kujenga hospital za afya ya akili vinginevyo waganga wa jadi watapata wateja wengi.
Okeeeeeeee,Bora Sheta anayefanana na Kova.
Tusikariri mwehu lazima awe mchafu na makopo mengi huku akifukuza watoto na kuongea peke yake.Ha haaaaa