Yule ni Diva mtangazaji redio .Mimi nilijua Luludiver ni mtoto wa yule alikuwa rais wa T.F.F akapigwa ndani na magu. Malinzi sijui?. Au ni mbili tofauti?
Jamaa unaona mbali ilo unakuta ata kiwanja hakina sijui Nani aliwaroga hakili hakuna unajiuliza anafanya hayo kwa faida ipi unakosa ata jibuMastaa wetu sijui wanakwama wapi mjini fujo kibao halafu home miyeyusho
Kupitia kanumba
Agnes masogange
Albert mangwea.
Inaonyesha jinsi gani wasanii wetu wanavyotudanga kwenye mitandao ya ukiwakumbusha unaambulia matusi,
Kuna lile uwoya ndo halijielewi kabisa kila siku lipo hotelini.
Hayo maneno ya kujifariji ndg kumbuka home iyo inaonesha ata mzazi huwezi kumkumbuka maana kumkumbuka mzazi ni pamoja na kumjengeaHayo ni maisha yake.
Hata akilala juu ya miti.
Naongea uhalisia wa mambo Sasa nyie wagumu kuelewa, get inspired ooohSawa endelea kujisifu uongo.
Wasisahau kuwa ndio alikuwa akimpigania mama ake apone pindi alipokuwa haiMimi sioni cha ajabu hapo. Lulu Diva ni mpambanaji tu kama walivyo watu wengi nchi hii.
Alianza kuigiza, mambo yakagoma, akawa video vixen na sasa hivi anakomaa na kuimba.
Sasa sioni popote kama kuna sababu ya kushangaa.
Ila mkuu kwa nilivyofuatilia ule msiba nahisi kuna kitu hakiko sawa kwenye familia yao au ukoo kwa ujumla maana kitendo cha mwanamke kutangaza madeni mbele ya msiba mimi binafsi sijawahi kushuhudia ,Jamaa unaona mbali ilo unakuta ata kiwanja hakina sijui Nani aliwaroga hakili hakuna unajiuliza anafanya hayo kwa faida ipi unakosa ata jibu
Ili awaonyeshe watu😂😂😂Hapo ni kwa wajomba zake,ila kwa ugonjwa wa mama yake angejiandaa hata kwa kupiga hiyo nyumba plasta na sakafu ya block...lolote hutokea unapokua na mgonjwa ambae hawezi kupona
Acha kulia lia we master choko.We usipo angalia kabla huu mwaka haujaisha watakuponda mtori..
We kama umezaliwa kwenu umezikuta kaa kwa kutulia Mdogo angu.. Maisha hayafanani na usiishi kwa kukariri, Kuna wenzako wanatokea background za ajabu ambazo we Mungu akikupitisha nna waswas tabia yako ya kichoko itajidhihirisha wazwaz. Tena Chunga sana mdogo angu!
umesema kweli,ngoja nitoe mfano wa mother wangu mzazi japo sio vizuri sana kusema haya humu.babu yangu aliamsha miaka mingi sana akawaacha kina mother wadogo ila alimuachia bibi nyumba kubwa sana yani kiwanja kikubwa chenye nyumba za kupanga.kwa wakati ule zilikua nzimaMimi sioni cha ajabu hapo. Lulu Diva ni mpambanaji tu kama walivyo watu wengi nchi hii.
Alianza kuigiza, mambo yakagoma, akawa video vixen na sasa hivi anakomaa na kuimba.
Sasa sioni popote kama kuna sababu ya kushangaa.
wakati mwingine wanalazimika kuwa hivo mfano masogange alimjengea nyumba nzuri baba yake kwa maisha hayo hayo ya ku fake, ifike wakati tusiwahukumu hawa wadada wa mjiniShida hawa wanaojifanya ni maalufu hapa mjini wanaishi maisha ambayo mda mwingine ni mateso kwao mtu anahitaji kuishi KWA ghalama kubwa Ili aonekane ni matawi ya juu kumbe ni choka mbaya tu
Wanaishi kwenye nyumba za mbao kwasababu Aina ya udongo haiwezi kusupoti nyumba ya mawe si kwamba hawawezi kujenga nyumba za mawe au Aina nyingine ila ni kwasababu ya Aina ya udongo uliopo huko.Ila na wewe mleta uzi kwanini unafuatilia maisha yasiyokuwa yako? Wazungu hawajengi nyumba wengi wao wanaishi kwenye nyumba za mbao na wamepangishwa napenda maisha halisi ya kijijini
kabisa,kuna ndugu yetu anasukuma gari ya bei kubwa lakini mama yake mzazi anakosa hata dawa ya menocha msingi alimpambania mama yake hadi mwisho
kanumba mtoe hapo Mkuu, kanumba wakati yupo hai mama yake alikuwa anasafiri kwa ndege, kwangu mimi kanumba alikuwa kijana mdogo anayejaribu ku enjoy maisha,bora yeye alinunua viwanjaMastaa wetu sijui wanakwama wapi mjini fujo kibao halafu home miyeyusho
Kupitia kanumba
Agnes masogange
Albert mangwea.
Inaonyesha jinsi gani wasanii wetu wanavyotudanga kwenye mitandao ya ukiwakumbusha unaambulia matusi,
Kuna lile uwoya ndo halijielewi kabisa kila siku lipo hotelini.
kujenga nyumba nzuri ni gharama sana,juzi mzee wangu ananiambia ametumia tsh mil 300 kujenga nyumba, mtu akiiona anacukulia poa tuLulu diva kwa Maisha aliyotokea ni mpampanaji kwakweli, from zero to superduper bongo, nampongeza kweli mwanamke mwenzangu, kuhusu kujenga hatajenga tu mbona ndo kaanzaanza ustar.
Pia ana catering servicesMimi sioni cha ajabu hapo. Lulu Diva ni mpambanaji tu kama walivyo watu wengi nchi hii.
Alianza kuigiza, mambo yakagoma, akawa video vixen na sasa hivi anakomaa na kuimba.
Sasa sioni popote kama kuna sababu ya kushangaa.
Asante sanaPole yao sana wafiwa...
HaipingwiK ni k ndugu yangu! Jambo la msingi ni kukojoa. K ya gharama ni chimbuko la umaskini uliokithiri.