Barakoa
JF-Expert Member
- Apr 11, 2020
- 720
- 1,299
Hapo ni nyumbani kwa mama ake, palikuwa ni mahali pa ndoto pa mamaake na sio pake. Nae ana maisha yake sasa na ndoto zake, msemeni kwa ndoto zake na sio za mzazi wake.Nasema nyumba ya tope kwa sababu Dar hajajenga anaongoza kwa kupanga mitaani huko hivo basi kwa kuwa yeye ni mtoto pekee wa mama na mama alikuwa na nyumba ya tope basi Luludiva ndio anaweka record ya kurithi na kuishi nyumba ya tope
View attachment 2052860
View attachment 2052861