NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 11,291
- 14,573
- Thread starter
- #81
Okey mkuu nishapajua pale usijal ngoja nitakupa jibu mkuuuKingo ipo huku mkundi ukifika shell unakata kona kulia (ukiwa unatoka mjini) kuna barabara la vumbi unalifuata hyo kuna mtaa wa Kingo pia kuna shule ya secondary Kingo kuna viwanja vya kutosha hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app