Kutana na dalali mkongwe Morogoro mjini

Kutana na dalali mkongwe Morogoro mjini

nitapata kiwanja cha mil 1.5 maeneo ya mukundi?
Mkuu kipo cha M6 Huku mkundi ni mjini maana cha milioni Moja kidogo sana Na sizani kama unaweza kupata ilikua jaman Sasa hivi pamepambazuka.
 
Habari zenu wakuu!! Naomba niende Moja Kwa Moja kwenye point ili nisiwachoshe,

Kwa mahitaji ya NYUMBA, VYUMBA, VIWANJA, VITU VYA NDANI VILIVYOTUMIKA NA NK. ndani ya mji wa morogoro mjini dalali nipo hapa
Na pia kama una nyumba au kiwanja unauza au unapangisha usisite kunitafuta .

Mawasiliano 0673707284
What's app no 06236897


KARIBUNI WAKUU[emoji120]
Hivi naomba nkulize mkuu
Hivi nyumba iko karibu na shule ya bungo
Ina Angalia ile barabara ya lami inayoenda midizini
Kodi kwa mwezi inakwendaje?

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom