Kutana na bomba la ajabu

Kutana na bomba la ajabu

tamimusalim

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
1,822
Reaction score
499
ImageUploadedByJamiiForums1413137397.739594.jpg hili ni bomba la ajabu lipo nje katika hotel moja inayotumiwa na mabilionea wa kiarabu uko doha -Qatar wadadisi na wahandisi wameshidwa kujua hayo maji hutoka wapi na iyo koki inashikiliwa na nini,wengi uamini ni nguvu za giza uchawi ndicho ilioshikilia iyo bomba,lakini maji yake ni salama kwa kuoga hata kunywa
 
Mkuu nadhani ni wewe tu ndio unaweza ukashangaa.., hata tukiacha njia ya fountain ambayo huenda ikawa ngumu kwa mtu kuelewa.., hii hata wewe unaweza ukatengeneza just imagine hilo bomba juu limekuwa supported na bomba dogo katikakati ambalo limezibwa na maji yanayoshuka..., na hilo bomba dogo la katikati ndio linapeleka maji mpaka juu katikatika ya hilo bomba kubwa na kuyamwaga ambayo yanashuka mpaka chini tena..., kwa kutumia pump huu ni mzunguko wa maji yaleyale

Na kama utatumia bomba transparent unaweza ukatumia hata bomba kubwa lenye diameter kubwa
 
Dah! kweli mapunguani wengi Tanzania hii, hiyo mbona ni toy tu hata nyumbani kwangu nnayo? tofauti ni hiyo kubwa tu na yangu ni ndogo na niiliinunuwa dollar 5 tu. Tena yangu maji yanabadilika rangi.

magicfaucet2_1358255351.jpg
 
Keysesoze kajibu kila kitu corect. anatakiwa ashangae mtoto mdogo na wala sio mtu mzima
 
Back
Top Bottom