Kutamani wafiwa hakufai!

Kutamani wafiwa hakufai!

hata mimi nilienda lugalo kumuaga brother deo kwa lengo la kuwa karibu na mjane ili nimfariji na kama atavutiwa zaidi na faraja zangu basi tuwe karibu kimambo flano,dah tatizo kaka zittto kaabwe alishatake nafasi kwa yule mwanamke,basi nikashindwa ila naahidi nitamtafuta tena
 
Shida iko wapi kufariji wajane?

Mjane akifiwa maana yake ile nafasi ya marehemu iko wazi ni juhudi zako kuipata na kuziba pengo.

Jamaa yangu mmoja ni mtaalam kwa wajane ananiambia wajane wazuri sana, hawana shida kabisa.

Du.. we kiboko!
 
kumbe huu uzi ni sababu ya braza deo
ila bra alikuwa na mke mkali na nyumba kali. dah mwenye nacho huongezewa.
samahani mleta uzi lakini
 
Back
Top Bottom