HansMaja
Senior Member
- Nov 9, 2010
- 102
- 114
Jamani nimesikia huko Musoma (Tarime) shughuli ya kuwatahiri na kuwaharibu dada zetu inaendelea kwa kasi...hii ikoje? Kwanini serikali inashindwa kukomesha hii shughuli? Akina dada -hivi hawa akina dada wenzenu wanaokimbilia kutahiriwa na kuharibiwa mnawachukuliaje? Kuna dada yeyote aliyewahi kufanyiwa anayeweza akachangia hapa?