Mie sitii neno...Utoto ulinisumbua my love
Mie sitii neno...
Hahahaaaa, hivi shemu kawaje swahiba manake nimeshangaa alivyokubwaga live bila chenga lol...dah! Swahiba huu mwaka wetu wa mikosi. Shem wako kanibwaga huku shem nitonye nae kumbe cv yake sio safi. Kha!
Yaani ndo kusema nimeshea na bikizee?...daaah!Bibi kizee ndiye aliyeichafua lakini haiwezi kuwa included kwenye experience
.
Huyo mwalimu mtoro anaitwa nani..
Hahahaaaa, we SALOK acha kunisingizia bana, mie na nity nani mwalimu? Mie bado kutoka na vibabu yeye tayari katoka na vibibi...jaribu kufikiria vizuri!sweetlady
Uwiiiiiiii nakufa mie...Tatizo alining'ang'ania ila haikuchukua mda mrefu