Kusoma UDSM ni dhamana

Hahahah nilijua utasema hayo tu
mmekuwa mkijisifia kucreate ARU
Ila mtoto ashakuwa na anajitegemea sasa
It's 11 years now
Narudi kuwatrain watoto wa ud kuprove tu ARU is the best
Nikimaliza narud nyumban kubeba manyota hahahah


Uje kwa Baba yako upate urithi wako. Hizo nyingne ni mboyoyo tuu
 
Ningekuwa Mnyakyusa ningejiua muda sana. Sina uhusiano wowote na jamii hiyo. Sina hata aliyewahi kuwa rafiki kutoka jamii tajwa hapo
Ni much know sn, ukitaka kuwaenjoy we jifanye fala, me najitambulishaga kwao km mhehe au Msafwa basi atakudharau. Wasukuma nawapenda are so humble, imagine wanyakyusa, wachaga au wahaya wangekuwa wengi km wasukuma hapa nchini ingekuwaje!
 

Nadhani UDSM ni national university (ingawa siyo rasmi) kama ilivyo Muhimbili ambayo ni national hospital....Lakini pamoja na umaarufu wa UDSM mambo kwa sasa siyo mazuri sana...products zake za sasa siyo nzuri sana..vijana wa kizazi hiki hawapendi kusoma au kuchimbua issues...wanajielegeza mno kimasomo. ingawa ni kweli ikilinganishwa na vyuo vingine nchini UDSM bado kipo juu kwa mbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…