LISU LISU LISU jamani Ni hatari.Dah huyu Lissu anafanya watu wasilale, huku Lissu kule Lissu! Team masifa wamesahau hadi kumsifia Meko wanampa airtime Lissu tu.
LISU LISU LISU jamani Ni hatari.Dah huyu Lissu anafanya watu wasilale, huku Lissu kule Lissu! Team masifa wamesahau hadi kumsifia Meko wanampa airtime Lissu tu.
Wamezuia media zisimuoneshe then wanahangaika humu kumjadili tena wanambeza kwamba si lolote, mtu asiye lolote kajaza thread zote humu Jf??!!LISU LISU LISU jamani Ni hatari.
Ni kawaida! Njia ikiwa na mwendawazimu, lazima wapitaji wawe na tahadhari. Lissu mropokaji! Tatizo pia anaomba kura kwa wa-TZ huki akiamini ulaya na amerika wanamuona.Dah huyu Lissu anafanya watu wasilale, huku Lissu kule Lissu! Team masifa wamesahau hadi kumsifia Meko wanampa airtime Lissu tu.
Wamezuia media zisimuoneshe then wanahangaika humu kumjadili tena wanambeza kwamba si lolote, mtu asiye lolote kajaza thread zote humu Jf??!!
Infact:
Lissu is the HEAD, that's why he makes the headlines.
He is the TOP, that's why he makes their top stories.
Wewe ukiwa kwako alafu kuna chumba wanakaa vijana wako wa kiume wawili au jamaa zako wawili wa kiume. Na ghafla mkasikia miguno ya kingono na mmoja anapiga miguno kama ya kwenye porn mtawaacha kisa ni right to privacy? Ushoga upo lakini ndio autetee kisa kuna right to privacy?
Huna akili na mpumbavu mkubwa. Hapa Tanzania hakuna sheria inayozuia ushoga?Mkuu naona una shida ya comprehension, tunajadili muktadha wa kitaifa unaniuliza me ntachukua hatua gani?
Sasa me nikikataa au kuukubali ndiyo itakuwa sheria kwa taifa? Kwa nini ushindwe kuikosoa serikali yako ya ccm unayoiunga mkono kwa kuruhusu ushoga unaanza kuniuliza me nitachukuliaje?
Serikali hii ya ccm ikiamua kama ambavyo imewahi kuamua na kupitisha hata mambo ya hovyo kuwa ni sheria inaweza kupiga marufuku ushoga, kwa nini hawafanyi hivyo?
Ccm imepitisha sheria nyingi za hovyo ikiwemo za kuminya uhuru wa kutoa maoni na kupashana habari, imezuia bunge live, imepitisha sheria mbovu za madini nk nk. Kawaulize kwa nini hawapitishi sheria kukataza ushoga kama hawaupendi?
Nyie ndo wale mliokuwa mnasema afrika nzima kuna wakina prof lipumba sita tuuu kwa usomi wakeWewe Ngumbaru wa Lumumba serikali ilishashinda kesi ngapi dhidi ya Tundu Lissu?
CCM na serikali kwa ujumla kuna wanasheria takataka tu, hakuna hata mmoja wakumkaribia Tundu Lissu.
Kama umeshindwa mjadala unaacha tu, matusi ya nini?Huna akili na mpumbavu mkubwa. Hapa Tanzania hakuna sheria inayozuia ushoga?
Nimekuuliza nikijua unafahamu kuwa ni kosa,kumbe ni mbumbumbu unayejifanya unajua.
Mjadala wa nini na mpuuzi ambae hajui kuwa ushoga ni jinai hapa Tanzania?Kama umeshindwa mjadala unaacha tu, matusi ya nini?
Nimecheka kwa nguvu sana, ila BAK hapa kama ni myihani unepata 100% sio kwa jibu hiloAliyeelimika huyu hapa.