Yorke
JF-Expert Member
- Jun 9, 2017
- 236
- 258
Unasoma moja ukimaliza unasoma nyingine si unaona ajira zilivyokua ngumuHiyo si ya kutegemea boom tena.
Unasoma moja ukimaliza unasoma nyingine si unaona ajira zilivyokua ngumuHiyo si ya kutegemea boom tena.
Achaa uongoo wew tcu sio wapuuzi kiasi hicho, daa jf inawatoa pumba wengiYep! Inawezekana. Mimi mbona nilisoma digrii mbili kwa wakati mmoja? Wakati niko 1st yr huku kule nilikuwa second year... Ila inabidi usiwe mtu wa madem ili kuweza kufanikisha hili...
Sikupenda kufanya hivi ila ile kozi niliyokuwa naipenda sikupata boom alafu kile chuo ambacho kozi yake nilikuwa siifagilii ndio nikapewa boom. So huku nasoma kwa ajili ya boom, kule nasoma kwa ajili ya ile kozi...
Ila ni kazi ngumu sana. Yani kwa semester nilikuwa nafanya UE 13, na kwa mwaka nafanya UE 26! Hapo hujajumlisha paper 1- 13, paper 2- 13, So kwa mwaka nilikuwa nafanya mitihani 52!
Nilipomaliza niliapa kutorudia tena huu mchezo...
Mwanzo mwanzo niliwachanganya sana watu. Wengine wanabishana kuwa Nichumu anasoma chuo fulani, mbona nimemuona huku anaingia darasani? Wengine wanasema, hapana, Nichumu tunasoma naye huku. Mbona tunaingiaga naye darasani!
TCU si ya juzi tu? Mkuu, mimi nimeanza chuo mwaka 2005, wakati ule Boom tunalipwa Tsh 2500 per day.Achaa uongoo wew tcu sio wapuuzi kiasi hicho, daa jf inawatoa pumba wengi
Ulipewa mkopo, mwenyewe huwa natamani nianze upya, hivi nitapewa mkopo kweliNilisoma Bachelor of Engineering miaka minne ni kamaliza nikaona kama moyo sijautendea haki nikaenda MEDICINE
Ulipewa mkopo, mwenyewe huwa natamani nianze upya, hivi nitapewa mkopo kweli[/QUOTE
Huwezi kupewa mkopo mpaka uwe umelipa 50% ya mkopo unaodaiwa.Nilicho kifanya nilitafuta kazi nikusanya pesa bila kuigusa kwa kujinyama haswa nikapata ada
duuh hilo haliwazekani yani degree mbili kwa wakati mmoja huku na huku hilo haliwezekani si kwa elimu ya bongo yetu hii pasua kicbwa afu course alizisoma ni motoPesa yako tu kunajamaa namjua alisoma degree ya mecchanical engineering akamaliza akaenda kusoma computer engineering yani kasoma miaka nane ni pesa yako tu na muda
Achaa uongoo wew tcu sio wapuuzi kiasi hicho, daa jf inawatoa pumba wengi
System lazima inakutema huwez kuselectiwa vyuo viwil tofauti, mbona hili liko waz, mnashupaza shingo tuuWewe ndiyo hujui hata wakati wa TCU kuna jamaa alikuwa anasoma Comuter science IFM na BSC education OUT
Kwani yeye kasema kasoma kwa wakati mmoja? Si ashasema kasoma minne kwanza then baadae minne tena jumla 8duuh hilo haliwazekani yani degree mbili kwa wakati mmoja huku na huku hilo haliwezekani si kwa elimu ya bongo yetu hii pasua kicbwa afu course alizisoma ni moto
Mpaka ulipe mkopo wa awali otee, sidhani kama unaweza kuulipa afuu urudi tena kukopa, utakuwa unapiteza mudaUlipewa mkopo, mwenyewe huwa natamani nianze upya, hivi nitapewa mkopo kweli
sIku sema wakati mmoja mbona unapotosha! Angalia post zilizotangulia.duuh hilo haliwazekani yani degree mbili kwa wakati mmoja huku na huku hilo haliwezekani si kwa elimu ya bongo yetu hii pasua kicbwa afu course alizisoma ni moto
Sheria ipi imekataza???Kusoma kwa nyakati tofauti haina shida kabisa ila kwa wakati mmoja inaleta shida kwasababu sheria ya TCU Hairuhusu mwanafunzi kuwa admitted kwenye vyuo viwili au zaidi kwa wakati mmoja.
Angalia hapo alafu nenda kafanye uchunguzi msomi usipende vya kutafuniwaSheria ipi imekataza???
Sheria iliyoanzisha TCU ni Universities Act No. 7 ya 2005 nimeipitia sijaona katazo hilo. Unless hukunaanisha Sheria.Angalia hapo alafu nenda kafanye uchunguzi msomi usipende vya kutafuniwa