Kusoma au biashara

Kusoma au biashara

yaan kama unajua kusoma na kuandika basi inatosha.. usipoteze muda wako kulazimisha yasiyolazimishika.. tafuta ishu ufanye! watu tuna vyeti vya degree kabatini mpaka mtu unaona aibu kitaa coz kila mtu anajua umesoma na hauna mbele wa nyuma!
 
Mkuu......
Soma upate elimu ya kawaida kuhusu kazi usijali njoo ILLUMINATI kuna kazi nyingi zenye pesa na utajiri wa ajabu unakaribishwa mkuu....

Mwaka huu uwe wa madiliko kwako karibu ILLUMINATI....
 
Kweli kabisa siri ya mafanikio ni kujituma....! Uganda /Kenya kumkuta Six liver or degree order anapiga mzigo gereji ni kawaida tu....! Sema wabogo tunapenda sifa kuliko kazi MTU anapenda kazi nyepesi (Ofisini) huku akisahau kazi ngumu ndo zenye masilahi......! (Ujinga usio na hasara ni bora kuliko Elimu isiyo na faida.)
 
Back
Top Bottom