Moja kati ya mapendekezo niliyoyasikia na kuyakubali sana katika hili suala la katiba mpya ni kufutwa kwa sare na bendera za vyama.
Itumike alama au bendera ya taifa tu !
Mambo ya sare ndio yamekuwa kichocheo cha vurugu na migawanyiko katika jamii yetu!
Nchi nyingi hazina sare wala bendera za vyama, wanatumia alama za kitaifa.
Itabidi hata timu maarufu za mpira nazo zisiwe na bendera/sare zenye rangi wanazozipenda!
WANA JANVI MI NI MEMBER MGENI SANA KWENYE JANVI HILI KW HIYO NAOMBA MSAADA WENU WA MAMBO YAFUATAYO: 1. NAOMBA NIIONE BENDERA YA CHAMA CHA DEMOCRATIC CHA PRESIDAA OBAMA WA KOGELO
2. UNIFORM ZA CHAMA CHA DEMOCRATIC
3. PICHA AMBAYO INAMUONYESHA OBAMA AKIWA KWENYE KAMPENI AKIWA AMEVAA UNIFORM YA CHAMA CHAKE 4.PICHA YA MWL NYERERE AKIWA AMEVAA GAMBA LA KIJANI THANX, am stand to be corrected
Angalia alama za Vyama vya siasa Marekani.
Unaona Sign zao zinaakisi utaifa, tofauti na mambo ya vyama vyetu Tanzania utafikiri ni vita baina ya nchi na nchi hadi kuchukuliana majambia.
Barack Obama Campaign rally/United States of America
Mitt Romney Campaign rally/United States of America
Wakuu mnaongea vitu msivyovijua kabisa, kwa mfano
1/Huko marekani nk kutokuwa na bendera ni sheria au utamaduni?
2/Huku Tanzania sheria za matumizi ya alama za taifa kama bendera inasemaje?
3/Bendera tu ndio zinaweza kuwagawa watanzania?
What about uwepo wa vyama vingi, chaguzi za kisiasa, mahubiri ya dini, Mila za Makabila, kampeni za kisiasa, slogan, sera, itikadi, Ushabiki wa michezo(Simba na Yanga nk), Uhuru wa vyombo vya habari(Radio Iman, TBC, nk) na mitandao ya kijamii(JF nk), Taasisi za kijumuiya(Jumuiya ya waarabu, wahaya, wachaga, Uamsho, Bakwata, CCT nk)