Goodrich
JF-Expert Member
- Jan 29, 2012
- 2,091
- 1,177
Moja kati ya mapendekezo niliyoyasikia na kuyakubali sana katika hili suala la katiba mpya ni kufutwa kwa sare na bendera za vyama.
Itumike alama au bendera ya taifa tu !
Mambo ya sare ndio yamekuwa kichocheo cha vurugu na migawanyiko katika jamii yetu!
Nchi nyingi hazina sare wala bendera za vyama, wanatumia alama za kitaifa.
Tuwe hivi:
Tusiwe hivi
Itumike alama au bendera ya taifa tu !
Mambo ya sare ndio yamekuwa kichocheo cha vurugu na migawanyiko katika jamii yetu!
Nchi nyingi hazina sare wala bendera za vyama, wanatumia alama za kitaifa.
Tuwe hivi:
Tusiwe hivi