Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
AMEMKOJOZA
Wewe mjeshi nini!!! Wajeda ndo wanapenda mada hizo. Mbaya zaidi jukwaa lake halipo humu.ya mabomu ya mbagala
Utakua hujamkamata vizuri huyo..Mtoto wa kike ndani ya dkk 15 anatakiwa awe ashakojoa kimoja.dah.. heshma zenu kwa wazee wa kucmamia ukucha... ila hwa wanawke hawarzik.. yan watmbea karbu 30mntc dem hjakjoaaaa!!????,,,.
nfanyeje mkuuuUtakua hujamkamata vizuri huyo..Mtoto wa kike ndani ya dkk 15 anatakiwa awe ashakojoa kimoja.
Simamia ukucha vizuri mkuu..Lazima akojoe hata km hatakinfanyeje mkuuu
hahaahaaaa.. pa1 mkuuSimamia ukucha vizuri mkuu..Lazima akojoe hata km hataki
Akikushinda mlete nikuelekeze jinsi ya kufanya. Si unajua theory mda mwingine mwanafunzi haelewi mpaka practical!!.hahaahaaaa.. pa1 mkuu
Ulishawahi kusimamiwa ukucha??Kumbee
Wanaume kila dakika tunaumizwa na nyie kina dada,yaani mkisha mmaliza mwanaume akabaki na suruali,mara mnaanza kumsugua na pilipili mpaka anakufa kwa kihoro,nyie haooooo mnadaka tawi lingine kama nyani kwenye mti wa mapera,miti ya mapera kuna siku yote inaanza kuteleza halafu mnaanguka.huo ndio wakati mmeisha chakaa,sura zimeruka kama kitenge cha Urafiki textile na pia magonjwa yasiotibika.zungumzieni mambo ya kiume...
hizi bla bla ziacheni jamani
Mbona sikuoni darasani?Kumbee
Na wewe nae umo tu,hata huoni haya?Kumbee
Mkuu unaonekana una hasira nae. Kakunyima nini!!Na wewe nae umo tu,hata huoni haya?
Kiswahili kinakua mdau..Ila umesema kweli vijana wengi siku hizo wanaeaza kunong'oneka tu. Nadhani na huu utandawazi unachangiaAsili ya neno hili hapo zamani ilikuwa ni kulifuatilia jambo unalotaka kulijua au linalokusumbua mpaka upate kulijua vyema au mpaka ulijue mwisho wake......
Lakini kwa kuwa vijana wa siku hizi fikra za ngono zimeweka kambi vichwani mwao....wao kila jambo wanalitafsiri katika mlengo huoo huo tu.......
Zamani ukisikia watu wanasemezana kuwa nilikuwa kwenye show mpaka majogoo yanawika...unajua kuwa hao watu walikwenda dansi.....
Lakini siku hizi ukisikia vijana wanasema walikuwa kwenye show mpaka asubuhi...ujue walikesha kwenye uzinzi......
Sio hivyo,nina hasira nae sababu ni mchepuko wangu ndio maana ananiudhi kulianika anika.Mkuu unaonekana una hasira nae. Kakunyima nini!!
Majighu hivi wewe ni KE au ME?Mkuu unaonekana una hasira nae. Kakunyima nini!!
Kaanika nini tena??Sio hivyo,nina hasira nae sababu ni mchepuko wangu ndio maana ananiudhi kulianika anika.