Majighu2015
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,941
- 3,964
- Thread starter
- #21
Madogo wanachukua kila kitu kama kilivyo😀😀😀Teh..Watoto wa kuja wanateguka vidole na kung'oa kucha kwa maneno yenu hayo..Wengine wanayabeba kama yalivyo
Madogo wanachukua kila kitu kama kilivyo😀😀😀Teh..Watoto wa kuja wanateguka vidole na kung'oa kucha kwa maneno yenu hayo..Wengine wanayabeba kama yalivyo
Duh. Hii kibokoMCHEPUKO UKIWA UNA HAMU HAUNA LONGO LONGO ILA MKEO MARA LEO SIJISIKII AU ATADAI ANAUMWA TUMBO
Hahaha sio kwamba uwezo ndio tatizo???mambo ya kugegeda kwa sifa yalinishinda

atakumbuka shuka kumekucha.Mkuu simamia kucha vizuri la sivyo utachapiwa...
inabidi ifanyike kwenye"trusted source". ok??Kusimamia kucha kuna hatari kubwa ya kupata ngoma

Si wote..Ukikamatika utaimba nyimbo zote kwa mautamu.Wanaume wenyewe hawa Wa chipsi mayai na sprite😉
Anasimamia ukucha kwa mwaka Mara moja..😀😀😀
Jisifie ukiwa umepiga kazi kweli..Sasa mtu anajisifia kumbe hamna lolote alilofanyaKujisifia ni Nature ya Binadamu tulivo
Mkuu ngoma unapata bila hata kusimamia kucha. Cha msingi ni kuwa mwangalifu tu.Kusimamia kucha kuna hatari kubwa ya kupata ngoma
Ngoma haiwezi kukupata kwa kusimamia kucha kama uko makini kwakua hata kwa mkeo inasimama kucha na usiposimamia kucha vizuri unachapiwa na wanaojua hiyo kazi,wee jilegezelegeze tu uoneKusimamia kucha kuna hatari kubwa ya kupata ngoma
Well saidNgoma haiwezi kukupata kwa kusimamia kucha kama uko makini kwakua hata kwa mkeo inasimama kucha na usiposimamia kucha vizuri unachapiwa na wanaojua hiyo kazi,wee jilegezelegeze tu uone
Wewe husimamii??Haya sasa simamieni kucha
Basi Ora mimi sizungumzii mambo ya chumbani,mimi nazungumzia mambo ya kwenye Noah.wanaume wa Dar bwana!
hivi mwanaume kamili waweza kujisifu mambo ya chumbani????!!!
hizi tabia za kishoga ( michicha mwiba)
Du dada umetuchokawanaume wa Dar bwana!
hivi mwanaume kamili waweza kujisifu mambo ya chumbani????!!!
hizi tabia za kishoga ( michicha mwiba)