inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 17,966
- 18,259
babu yetu nyerere alidhamiria kuipoteza Tanganyika akaleta Tanzania bara na Tanzania visiwani..aliichukia sana Tanganyika..sijui kwa nini..!?. kwa hyo ni utaratibu wa serikali Tanganyika kuiita Tanzania bara..kidogo jakaya ndo alipenda kuitaja tanganyikaKwenye hotuba zao nasikia wakitaja eti uhuru wa Tanzania bara .