Keyboard_Warrior
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 6,101
- 10,463
Elfu 6 zidisha kwa familia nzima plus nauli ya familia nzima kwenda na kurudi kutoka Mbagala Charambe!?Cinema sio ushua,elf 6 tu
Elfu 6 zidisha kwa familia nzima plus nauli ya familia nzima kwenda na kurudi kutoka Mbagala Charambe!?Cinema sio ushua,elf 6 tu
Hio gharama usipoitumia kwa familia yako , ukijibana itakununulia nini zaidi ya unga wa ugali, na kama ni hivyo basi, umewaleta hao viumbe duniani waje kuteseka ?Elfu 6 zidisha kwa familia nzima plus nauli ya familia nzima kwenda na kurudi kutoka Mbagala Charambe!?
Sisaidii masikini moja kwa mojaUmewahi kusaidia masikini?
Kila mbuzi anakula kulingana na urefu wa kamba yake kijana.Hio gharama usipoitumia kwa familia yako , ukijibana itakununulia nini zaidi ya unga wa ugali, na kama ni hivyo basi, umewaleta hao viumbe duniani waje kuteseka ?
Huoni hata na wao wakikua wata rudi kwenye mzunguko huo huo wa kimasikinini
Oooh!Sisaidii masikini moja kwa moja
Ninatoa fungu langu la mshahara kila mwezi kuchangia mashirika kama WorldVision
Tanzania | Field Office | World Vision International
We seek to contribute to the measurable improvement in the sustained well-being of 15 million girls and boys – especially the most vulnerable. We are dedicated to working with children, families and communities to overcome poverty and injustice. Although the poverty rate in the country has...www.wvi.org
Wawepo wa kishua zaidi yangu au mimi kuwa mporipori haibadilishi kuwa unapoamua kuleta viumbe duniani unatakiwa ujipange sio kuja kujaza vibaka na watoto wa mtaaniKila mbuzi anakula kulingana na urefu wa kamba yake kijana.
Wewe ni mtoto wa kishua, lakini bado kuna wa kishua+ ambao wanakuona wewe mpori pori tu.
Ndio , mchango wangu unaeenda asilimia kubwa vijijini kujenga visima na kutoa matibabu, sio kwa masikini wadangaji wa mjini tunaobishana nao humu mitandaoniOooh!
Kwahiyo baada ya kuona huu uzi
Usisaidie masikini, acha wafe
Unaacha kuchangia fungu lako la mshahara kwenda World Vision kusaidia masikini?
acha kutamani watotoo choko ww...na story zako chai za world vision!Ndio , mchango wangu unaeenda asilimia kubwa vijijini kujenga visima na kutoa matibabu, sio kwa masikini wadangaji wa mjini tunaobishana nao humu mitandaoni
👿👿👿Haihitaji kureason na choka mbovu, huwa wanaona kile wasicho na uwezo nao, ni ushoga
Masikini hana tofauti na mchawi
Ooooh!Wawepo wa kishua zaidi yangu au mimi kuwa mporipori haibadilishi kuwa unapoamua kuleta viumbe duniani unatakiwa ujipange sio kuja kujaza vibaka na watoto wa mtaani
Umeshidwa kuleta hizo content punga weweacha kutamani watotoo choko ww...na story zako chai za world vision!
Ndio, burudani kwa familia yako ni kitu muhimu sanaOoooh!
Kabla hatujaleta viumbe duniani tunatakiwa tujipange kuwapeleka kwenye masinema?
Aaaaah!Ndio , mchango wangu unaeenda asilimia kubwa vijijini kujenga visima na kutoa matibabu, sio kwa masikini wadangaji wa mjini tunaobishana nao humu mitandaoni
Kwahiyo unasema kuifurahisha familia ni kuipeleka sinema tu?Ndio, burudani kwa familia yako ni kitu muhimu sana
Kama mzazi hawezi kuifurahisha familia yake, basi huyo ni katili na mzazi pumbavu hakutakiwa kuleta viumbe kwenye hii dunia kuja kuishi maisha yake ya kimasikini
Nimezunguka sana hii nchi hasa vijijiniAaaaah!
Kwahiyo masikini wa vijijini hawatakiwi kujipanga, wanastahili kusaidiwa?
Masikini wa mjini ndio unaowapiga vita wewe?
Masikini wa vijijini ndio unawahusudu na unapenda kuwasaidia?
Mkuu ni kweli imejaa ushoga? Huyu jamaa kama ni kweli ametumwa kutangaza huyu ...unashangiliaji ushoga ukiwamo ndani yake?Baba pumbavu hili unapeleka watoto kuangalia movie zilizojaa content LS za ushoga na usagaji halafu unakuja kujitangaza
Kwani masikini ni mtu wa namna gani mtoto wa kishua?Watu wa vijijini sio masikini, ni miundo mbinu ndio changamoto kama visima na mashule na hospitali ndio wanavyohitaji, hawana mzuka na hela kabisa
Huyo unaemwita mkuu, ni mkuu wa machoko,Mkuu ni kweli imejaa ushoga? Huyu jamaa kama ni kweli ametumwa kutangaza huyu ...unashangiliaji ushoga ukiwamo ndani yake?
Unawaza ushoga tuBaba pumbavu hili unapeleka watoto kuangalia movie zilizojaa content LS za ushoga na usagaji halafu unakuja kujitangaza