wiseboy.
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 2,931
- 4,549
Tabia yangu hii ya kuwa natamani kila mwanamke mrembo, naichukulia kama ujinga wa hali ya juu nilionao,yaani huwa sipitwi, akionekana binti yeyote mrembo hasa aliyejazia makalio vyema, mrembo wa sura, walahi tena mwili huwa unanisisimka mie, hadi mate hunitoka kwa udenda.
Huu ni ujinga wa hali ya juu kabisa nilionao, sijui nitaacha lini ujinga huu, hili ni pepo la ngono ninalo kwa kweli, wakuu naomba sana jamani kila mmoja kwa sala na imani yake aniombee, hata mie sipendi kuwa hivi, nimejitahidi sana kuacha nimeshindwa, pombe mie na wanawake, halafu MUNGU amekuwa akiniepusha na majanga sana kama UKIMWI.
Nimepima sana afya yangu, nikajikuta niko ok, hata jana pia nimepima niko fresh, MUNGU ananilinda kwa kusudi maalumu si bure, ila kwa ujinga wangu nashindwa kutambua ukweli, laiti ningelikuwa nimetulia kitabia ningelikuwa mmoja wa vijana matajiri wakubwa katika nchi hii kwa mapesa niliyowahi kuyashika, ila dhambi ndo imenipa umaskini huu kwa ujinga wangu, MUNGU NIREHEMU NIWEZE KUKURUDIA MUUMBA WANGU,NAKUPENDA MUNGU WANGU.
Huu ni ujinga wa hali ya juu kabisa nilionao, sijui nitaacha lini ujinga huu, hili ni pepo la ngono ninalo kwa kweli, wakuu naomba sana jamani kila mmoja kwa sala na imani yake aniombee, hata mie sipendi kuwa hivi, nimejitahidi sana kuacha nimeshindwa, pombe mie na wanawake, halafu MUNGU amekuwa akiniepusha na majanga sana kama UKIMWI.
Nimepima sana afya yangu, nikajikuta niko ok, hata jana pia nimepima niko fresh, MUNGU ananilinda kwa kusudi maalumu si bure, ila kwa ujinga wangu nashindwa kutambua ukweli, laiti ningelikuwa nimetulia kitabia ningelikuwa mmoja wa vijana matajiri wakubwa katika nchi hii kwa mapesa niliyowahi kuyashika, ila dhambi ndo imenipa umaskini huu kwa ujinga wangu, MUNGU NIREHEMU NIWEZE KUKURUDIA MUUMBA WANGU,NAKUPENDA MUNGU WANGU.