Kusema kweli mimi ni mjinga Sana

Kusema kweli mimi ni mjinga Sana

Kuna msemo unaosema ukiona mwanamme anapenda sana wanawake basi ujue utotoni walishamgeuza au uko mbele anaweza kuwa shoga ni hayo tu Wiseboy.

mmmh sio kweli, ila inawezekana ana hormone nyingi za kuongeza nyege, ndo maana tamaa inamzidi uwezo
 
Tabia yangu hii ya kuwa natamani kila mwanamke mrembo, naichukulia kama ujinga wa hali ya juu nilionao,yaani huwa sipitwi, akionekana binti yeyote mrembo hasa aliyejazia makalio vyema, mrembo wa sura, walahi tena mwili huwa unanisisimka mie, hadi mate hunitoka kwa udenda.

Huu ni ujinga wa hali ya juu kabisa nilionao, sijui nitaacha lini ujinga huu, hili ni pepo la ngono ninalo kwa kweli, wakuu naomba sana jamani kila mmoja kwa sala na imani yake aniombee, hata mie sipendi kuwa hivi, nimejitahidi sana kuacha nimeshindwa, pombe mie na wanawake, halafu MUNGU amekuwa akiniepusha na majanga sana kama UKIMWI.

Nimepima sana afya yangu, nikajikuta niko ok, hata jana pia nimepima niko fresh, MUNGU ananilinda kwa kusudi maalumu si bure, ila kwa ujinga wangu nashindwa kutambua ukweli, laiti ningelikuwa nimetulia kitabia ningelikuwa mmoja wa vijana matajiri wakubwa katika nchi hii kwa mapesa niliyowahi kuyashika, ila dhambi ndo imenipa umaskini huu kwa ujinga wangu, MUNGU NIREHEMU NIWEZE KUKURUDIA MUUMBA WANGU,NAKUPENDA MUNGU WANGU.
kujistukia ni mwanzo wa ukombozi
 
Tabia yangu hii ya kuwa
natamani kila mwanamke mrembo, naichukulia kama ujinga wa hali ya juu
nilionao,yaani huwa sipitwi, akionekana binti yeyote mrembo hasa
aliyejazia makalio vyema, mrembo wa sura, walahi tena mwili huwa
unanisisimka mie, hadi mate hunitoka kwa udenda.

Huu ni ujinga wa hali ya juu kabisa nilionao, sijui nitaacha lini ujinga
huu, hili ni pepo la ngono ninalo kwa kweli, wakuu naomba sana jamani
kila mmoja kwa sala na imani yake aniombee, hata mie sipendi kuwa hivi,
nimejitahidi sana kuacha nimeshindwa, pombe mie na wanawake, halafu
MUNGU amekuwa akiniepusha na majanga sana kama UKIMWI.

Nimepima sana afya yangu, nikajikuta niko ok, hata jana pia nimepima
niko fresh, MUNGU ananilinda kwa kusudi maalumu si bure, ila kwa ujinga
wangu nashindwa kutambua ukweli, laiti ningelikuwa nimetulia kitabia
ningelikuwa mmoja wa vijana matajiri wakubwa katika nchi hii kwa mapesa
niliyowahi kuyashika, ila dhambi ndo imenipa umaskini huu kwa ujinga
wangu, MUNGU NIREHEMU NIWEZE KUKURUDIA MUUMBA WANGU,NAKUPENDA MUNGU
WANGU.

kumbe huna hera? wenzio walio kama wew wana fweza pole
 
Picha tafadhari, ili tujue ni aina gani ya wadada wanakuchanganya akili.
 
Pichaa iyo
 

Attachments

  • 1412253081078.jpg
    1412253081078.jpg
    26.4 KB · Views: 152
Kuna wakati niliwahi kukwambia wewe ni mjinga ukabisha tena ukatishia kunirushia ngumi. Leo umekiri?
 
Wew sio ujinga huoo

Ni uanaume....huoni zizi lenye ng'ombe kumi dume ni moja, tu


Make a step kwa kile unachotak kama vp endelea au punguza, UKITAKA KUACHA MUONE mangatara akupe mwongozo
 
Last edited by a moderator:
Neno la Mungu linasema aziniye na mwanamke hana akili kabisa umefanya vyema kabisa kujitambua wewe ni mjinga,sasa chukua hatua ya kubadilika,acha pombe,jiepushe na makundi,fikiri zaidi mambo ya uchumi,tafuta marafiki wenye mlengo huo achana na marafiki wanaokupelekea huko,na kubwa kuliko yote kuwa mtu wa Ibada kila wakati.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom