KATASAN'KAZA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 3,098
- 1,345
Ata DSTV inazingua hivyo!
Tatizo c king'amuzi ni Itv wenyewe wanafanya makusudi ili wauze king'amuzi chao nimejaribu kufuatilia nikaambie siri hii pia sababu ya pili wameona Irv inapendwa wakaamua kufanya hivi
Mkuu hata mimi ni hivyo hivyo. Scratch kwenda mbele. Channel nyingine fresh lkn ITV majanga.Malipo niliyolipa juzi ili niangaliae Afcon ndo ya mwisho. Afcon ikiisha nakipiga nyundo nahamia digitek kabisaaa. Pmbavu zao.
Mimi natumia CONTINENTAL, ina scratch kila siku tarfa ya habari ikikaribia, leo ndo ina scratch zaidi!
Hongera mkuu,leo maneno yako haya yamethibitika pasipo shaka,kumbe ccm na startimes/tbc ndiyo wanaofanya hujuma kwa kituo hiki bora na kinachozingatia weledi,leo wameumbuka.Shida yake usikimbilie kuilaumu ITV,yenyewe inachofanya ni kuwapelekea feed hao startimes ili waingize kwenye multplexer zao,sasa ujuavyo hao startimes wana interest zao wanaweza wakacheza na hiyo signal watakavyo,umewahi kuona signal ya ITV iki scratch DSTV au TING au ZUKU au Continental au hata Digitek, au hata kwenye dish la kawaida la C band? signal ya ITV ndiyo yenye Quality ya juu kwenye local chanel kwenye sat,hivyo uongozi wa ITV hawapaswi lawama za scratching kwenye ving"amuzi vya startimes,isipokuwa ni startimes na washirika wake
Ni hujuma ndugu yangu,hawa startimes na tbc+ccm hawataki habari za ukweli na uwazi zinazoonyeshwa na ITV,leo mkurugenzi wa itv/redio one amethibitisha hilo kwa ushahidi usio na chembe ya shaka,heri mimi niliwashtukia hao vibaraka wa ccm mapema nikahamia zangu dstv na Azam tv,kwangu itv ni kama oxygen ipo muda wote,bila tone la scratch-stuck.Mi inakaribia mwezi sasa ni shidaa, ITV kulikon?