Kusave nomber ya mapenzi wako jina la kimahaba ushamba.?

Kusave nomber ya mapenzi wako jina la kimahaba ushamba.?

agata edward

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2014
Posts
6,640
Reaction score
9,414
Eti wakaka kumsave kwenye simu mpenzi wako kwa majina ya kimahaba ni ushamba na unaonekana bwege? .
 
Sio ushamba ,niliwahi kua na mwanamke akiwa na hasira anawaka kweli ,, akipoa anapoa kwel kweli .

Nikaamua kumsave " My Frozenfire"[emoji23][emoji23] nayeye alipenda sanaaa iyo nickname .
 
Ni ushamba sana.

Bora umsevu jina hata la konda wa Daladala, mfano "uso wa mbuzi"
 
Sio ushamba ,niliwahi kua na mwanamke akiwa na hasira anawaka kweli ,, akipoa anapoa kwel kweli .

Nikaamua kumsave " My Frozenfire"[emoji23][emoji23] nayeye alipenda sanaaa iyo nickname .
Hahah wangu nilimsevu drama queen, alikuwa anapenda sana kunipigia kelele. Ugomvi kila akiniona tu ingawa kuna mda ana chill tunakuwa na furaha ila hazipiti siku 2 kakiwasha tena. Alivyojua alilalamika huyoo ila nikamchana live anazingua.

Ila alipoacha utoto nikampandisha cheo sahivi ni mi amor.
 
Nasevu kutokana na tabia yake , mahali nlipokutana nae Mara ya kwanza au sura yake. Hivyo ndo vita amua nim save jina gani
 
Nyingine nimemsave jina lake nyingine nimemsave Love
2018-03-24+13.16.17.png
 
Hahahah safi sana ,alafu raha ya izi nickname ziwe zinaendana na tabia au mwonekano wa She wako.
Inaletaga mizuka sana hata ya kupokea simu, nakumbuka siku nilitaitiwa na ma Pot/Mwela nikawa nampigia simu antumie hela flani niitoe niwahonge jamaa waniachie.

Ndio pie mmoja akaniuliza huyo mtu ni mkeo? nikamjibu ndio..sasa mbona umemsevu drama queen? Nikakosa cha kumjibu maana mziki wake naujua mimi.

Ila sahivi nimempa jina zuri, ameacha utoto wake!
 
Back
Top Bottom