Kusamehe ni Udhaifu

nasemajee kusamehe ni weakness kama ni ubaya ubaya.

mtu akikufanyia umafia usimuache hivi hivi dili nae kisawasawa.

I'm out

#Kisasi ni haki.
 
Kisasi ni haki
 
nasemajee kusamehe ni weakness kama ni ubaya ubaya.

mtu akikufanyia umafia usimuache hivi hivi dili nae kisawasawa.

I'm out

#Kisasi ni haki.
Mtu anaye shindwa kusamehe ni mtu dhaifu.

Ukikosea hahitakiwi tu , umpe mtu nafasi ya kukukosea tena yaani usimuamini tena.

Mtu anaye lipa kisasi ana dumisha uadui na kamwe awezi kuwa na amani .
 
Itafika muda utaona huu wote ni upuuzi na utafocus na mambo ya muhimu zaidi kuliko kumpa airtime mpumbavu!
Wala hapew airtime ni mtego tu unasetiwa akijaa tu ni milio

Usikubali kwa mnyonge dhidi ya mtesi wako Dunia haitaki watu dhaifu

Kisasi ni haki😁
 
Wala hapew airtime ni mtego tu unasetiwa akijaa tu ni milio

Usikubali kwa mnyonge dhidi ya mtesi wako Dunia haitaki watu dhaifu

Kisasi ni haki😁
Letting it go haimaanishi kuwa wewe ni mdhaifu!

Hata mimi kitambo nilihisi hivyo kukbe ndivyo sivyo! Sana sana unazidi kumuonesha adui yako kuwa unajali sana!

Mfano mzuri, kwenye mahusiano tu ambaye anaongea au kulalamika sana na ambaye ana mute tu nani anayepata maumivu zaidi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…