Kusalitiwa

Kusalitiwa

Daah mwanangu hao wanawake NEVER EVER trust them. Mimi ningekua wewe ningechukua narudisha ilipotoka haraka. Then muache mshikaji wako amlipie nauli arudi tena kama wanapendana kweli. Hizo ni tamaa tu lazima atarudi kwa mshikaji tena.

Swali: kwani hapo hapo Songea hakuna wanawake walau upunguze ugumu. Kuliko kukaa kufikiria una mke ndani halafu chakaramu..
Dar kweli ... Ila nampenda kishenzi

Sent from my HTC One_M8 using JamiiForums mobile app
 
unaona katulia enheeee ?
Jiulize ulipo mchukuwa hakutulia ?
Alifikiliaje kudeti na rafiki yako (kukusaliti) ?
Vipi ametulia kiuwanda gani maana usione anakaa kimya , hatumii simu , hatoki ukazani ametulia

Huyo we Rudisha kwao Dar es Salaam

Sent from my itel it1556 Plus using JamiiForums mobile app
Ntafikiria , tatizo naomba bado anaakili za kitoto ukizingatia umri wake she is 18

Sent from my HTC One_M8 using JamiiForums mobile app
 
pole sana mkuu nipe namba yake pm

Ila ttzo umefanya viceversa yaani wenzio hutoa songea kuleta dar
 
Mambo wana jf hope mpo wazima nina tatizo naomba ushauri, nina demu nimemtoa dar kumleta songea ... Yani huku mimi ndio baba na mamake kwa kila kitu... Nilipata safari ya wiki mbili kuelekea Arusha nikitokea songea na kumwacha yy baada ya kukaa nae mwezi mmoja, kwa bahati mbaya kuna mshaji wangu alimpenda yaani demu wangu imeonekana anamenda mshkaji mpaka sms za demu wangu kumtafuta mshkaji alinionyesha.. nilivyorudi kutoka Arusha, nilimbana maana niliyasikia kutoka kwa majiran kuwa demu wangu anauhusiano na mshkaji, ..aliniambia yote ni kweli na amekiri hatorudia tena na sim nimemyanganya nina wiki sasa nimemwona ametulia ila sina imani sana .. je nimrudishe au nimbakize...? Maana mm ninasafari sana za wiki na wiki mbili... NAOMBENI USHAURI...

Sent from my HTC One_M8 using JamiiForums mobile app
Mkulima aliyepanda zao la miwa pembeni ya barabara ya shule pamoja na wewe tatizo lenu ni moja. Wala usiwe na haraka ishi naye tu.
 
Dar kweli ... Ila nampenda kishenzi

Sent from my HTC One_M8 using JamiiForums mobile app
Kiongozi inabidi ufanye uamuzi mugumu sana. Huyo hata miezi 6 haijafika kashaanza ivyo. Piga chini fasta atakuja kukufanya ufanye maamuzi ambayo yatakupeleka kubaya
 
Mambo wana jf hope mpo wazima nina tatizo naomba ushauri, nina demu nimemtoa dar kumleta songea ... Yani huku mimi ndio baba na mamake kwa kila kitu... Nilipata safari ya wiki mbili kuelekea Arusha nikitokea songea na kumwacha yy baada ya kukaa nae mwezi mmoja, kwa bahati mbaya kuna mshaji wangu alimpenda yaani demu wangu imeonekana anamenda mshkaji mpaka sms za demu wangu kumtafuta mshkaji alinionyesha.. nilivyorudi kutoka Arusha, nilimbana maana niliyasikia kutoka kwa majiran kuwa demu wangu anauhusiano na mshkaji, ..aliniambia yote ni kweli na amekiri hatorudia tena na sim nimemyanganya nina wiki sasa nimemwona ametulia ila sina imani sana .. je nimrudishe au nimbakize...? Maana mm ninasafari sana za wiki na wiki mbili... NAOMBENI USHAURI...

Sent from my HTC One_M8 using JamiiForums mobile app
ID yako inijidhihirisha kuwa wewe kweli ni mtakayote hivyo haina haja ya kukomplein

Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
 
Jasiri haachi asili akiacha asili hana akili

Lakini na wewe ni mzembe kitandan mpaka anatongoza wanaume Emu mpe mgegedo mzur alafu lete mlejesho

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Mkuu usijidanganye.mwanamke aliyezoea varieties (kubwa,ndogo,ndefu,fupi,nene,nyembamba)huwa habadiliki hata umsugue vipi,ameshazoea leo pilau,kesho wali,keshokutwa biriani.kumbuka huyo demu ndo alimshobokea rafiki yako.
piga chini huyo demu mwache aendelee na rafiki yako vinginevyo atakuumiza hapo baadae

Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: wax
Kaniomba msamaha na kamwe hata rudia kasema... Sasa nipo njia panda

Sent from my HTC One_M8 using JamiiForums mobile app
Toka hapo njia panda nenda nyumbani umwambie achukue kila likicho chake arudi Dar, lasivyo watakula wengine na wewe utalipa bili
 
Asante sana inatosha napiga chini narudisha kwao... Ila ananisave balaa , nguo anafua, chakula anapika, usafi anafanya ... Ila nafanya hivi si km ndio wa maisha nategemea anisave tu ...

Sent from my HTC One_M8 using JamiiForums mobile app
 
Ntafikiria , tatizo naomba bado anaakili za kitoto ukizingatia umri wake she is 18

Sent from my HTC One_M8 using JamiiForums mobile app
Basi kaa naye maana unashindwa kuelewa kama hizo ni za kitoto sasa akija kufikisha umri wa makamo si atakuwa kingi ktk drafti
Kama mtoto akakuwe kwao


Sent from my itel it1556 Plus using JamiiForums mobile app
 
No love pande hizo...Huyo jamaa mwingine amewekeza hapo kwa hiyo angalia ustaarabu mwingine
 
Umemtoa Dar? Kwa maana mmeokotana tu.

Kama jamaa ako anampango wa kuoa mwachie. Jitafutie mtoto mwingine mzee. Huyo hakupendi.

Au unaona wivu?
Sio kwa kukumis huku jirani.ndo nini hvyo lkni??
 
Mwezi tu?akikaa mwaka heri kuumia cku moja kuliko kuwa na majuto y cku zote

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom