Mtakayote
Member
- Apr 1, 2016
- 62
- 16
Mambo wana jf hope mpo wazima nina tatizo naomba ushauri, nina demu nimemtoa dar kumleta songea ... Yani huku mimi ndio baba na mamake kwa kila kitu... Nilipata safari ya wiki mbili kuelekea Arusha nikitokea songea na kumwacha yy baada ya kukaa nae mwezi mmoja, kwa bahati mbaya kuna mshaji wangu alimpenda yaani demu wangu imeonekana anamenda mshkaji mpaka sms za demu wangu kumtafuta mshkaji alinionyesha.. nilivyorudi kutoka Arusha, nilimbana maana niliyasikia kutoka kwa majiran kuwa demu wangu anauhusiano na mshkaji, ..aliniambia yote ni kweli na amekiri hatorudia tena na sim nimemyanganya nina wiki sasa nimemwona ametulia ila sina imani sana .. je nimrudishe au nimbakize...? Maana mm ninasafari sana za wiki na wiki mbili... NAOMBENI USHAURI...
Sent from my HTC One_M8 using JamiiForums mobile app
Sent from my HTC One_M8 using JamiiForums mobile app


unaona katulia enheeee ?