Kusaidiana na mwenza wako ni muhimu!!!!!

shiumiti

JF-Expert Member
Jun 4, 2009
435
19
Hivi kwa sisi Waafrika halisi kusaidiana kwa jinsi hii na mzazi mwenzako kunawezakana, au tunaiga wazungu????? TUJADILI!!!
 

Attachments

  • Doc22.doc
    45.5 KB · Views: 309
Mimi kama mimi naweza na nasapoti asilimia mia maana mtoto ni wangu na nilimzalisha mwenyewe sasa akitoka tumboni kwa mama yake ni wajibu wangu kumsaidia maana ye alinisaidia miezi tisa kitu gani mi nikimpa tafu sa ivi?wala sio kuiga wazungu.
 
Hivi kwa sisi Waafrika halisi kusaidiana kwa jinsi hii na mzazi mwenzako kunawezakana, au tunaiga wazungu????? TUJADILI!!!



Sasa ndugu unaposema tunaiga wazungu unamaanisha nini?Huoni kuwa huyo mtoto aliyebebwa ni chotara ikimaanisha kuwa huenda mama ni mzungu,au mwarabu.Kwa hiyo hapo haigi ndio maisha yenyewe hayo.

<?xml:namespace prefix = v ns = "urn:schemas-microsoft-com:vml" /><v:shapetype id=_x0000_t75 stroked="f" filled="f" path="m@4@5l@4@11@9@11@9@5xe" o:preferrelative="t" o:spt="75" coordsize="21600,21600"> <v:stroke joinstyle="miter"></v:stroke><v:formulas><v:f eqn="if lineDrawn pixelLineWidth 0"></v:f><v:f eqn="sum @0 1 0"></v:f><v:f eqn="sum 0 0 @1"></v:f><v:f eqn="prod @2 1 2"></v:f><v:f eqn="prod @3 21600 pixelWidth"></v:f><v:f eqn="prod @3 21600 pixelHeight"></v:f><v:f eqn="sum @0 0 1"></v:f><v:f eqn="prod @6 1 2"></v:f><v:f eqn="prod @7 21600 pixelWidth"></v:f><v:f eqn="sum @8 21600 0"></v:f><v:f eqn="prod @7 21600 pixelHeight"></v:f><v:f eqn="sum @10 21600 0"></v:f></v:formulas><v:path o:connecttype="rect" gradientshapeok="t" o:extrusionok="f"></v:path><?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-com:eek:ffice:eek:ffice" /><o:lock aspectratio="t" v:ext="edit"></o:lock></v:shapetype><v:shape style="WIDTH: 198pt; HEIGHT: 300pt; VISIBILITY: visible" id=BLOGGER_PHOTO_ID_5483425788729411010 o:button="t" alt="http://1.bp.blogspot.com/_7ovpXs5-lxM/TBkKs9FuxcI/AAAAAAAAAkg/LYZj-hb_GSo/s400/17877_1200775899387_1228237946_30497222_4205053_n%5B1%5D.jpg" type="#_x0000_t75" o:spid="_x0000_i1025"><v:imagedata src="file:///C:\DOCUME~1\Michel\LOCALS~1\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image001.jpg" o:title="17877_1200775899387_1228237946_30497222_4205053_n%5B1%5D"></v:imagedata></v:shape>
 
Hivi kwa sisi Waafrika halisi kusaidiana kwa jinsi hii na mzazi mwenzako kunawezakana, au tunaiga wazungu????? TUJADILI!!!

Kuna namna yake ya kusaidia,vinginevyo utaonekana pimbi kama huyo mshikaji wako wa kwenye picha
 
Kuna namna yake ya kusaidia,vinginevyo utaonekana pimbi kama huyo mshikaji wako wa kwenye picha

Lakini ni vizuri ukakumbuka kwamba wote wawili ni wazazi. Na wewe mwanaume ndio uliyempatia hiyo mimba!!!!!!
 
Sasa ndugu unaposema tunaiga wazungu unamaanisha nini?Huoni kuwa huyo mtoto aliyebebwa ni chotara ikimaanisha kuwa huenda mama ni mzungu,au mwarabu.Kwa hiyo hapo haigi ndio maisha yenyewe hayo.

Ninamaanisha kuwa si utamaduni wa mwafrika kumsaidia mwnza wake.... Ebu nikuulize tu kidogo, samahani kama nitakuwa nimekosea ulishawahi kumwona baba yako mzazi akimsaidia mama yako kwenye kazi kama kuosha vyuombo, kufua nguo, kubeba mtoto n.k??? . Nahisi haya mambo ya kusaidiana yamekuja miaka ya karibuni, baada ya beijing meeting. Na nahisi ni zaidi kwa wale watu ambao wamesoma nje, au wamekaa sana na mchanganyiko wa watu, na kujifunza.
 
Haswaaa!!!! maana mtoto ni wa baba na mama, kwa hatuna budi kusaidiana
Mimi kama mimi naweza na nasapoti asilimia mia maana mtoto ni wangu na nilimzalisha mwenyewe sasa akitoka tumboni kwa mama yake ni wajibu wangu kumsaidia maana ye alinisaidia miezi tisa kitu gani mi nikimpa tafu sa ivi?wala sio kuiga wazungu.
 
Lakini ni vizuri ukakumbuka kwamba wote wawili ni wazazi. Na wewe mwanaume ndio uliyempatia hiyo mimba!!!!!!


Shiumiti;lakini kumbuka kuwa kuna roles za nyumbani ambazo unaeza sema ziko more musculine na nyingine inapendeza zaidi akifanya mama,kama pia unazingatia mila,desturi na utamaduni wa wahusika.Hapo kwa mfano mama angekuwa anafanya hiyo kazi ya kuosha vyombo,halafu mimi ningekuwa natoa vumbi kwenye carpet au napanga magunia ya mkaa store..Mtoto nitambeba,tena saana lakini siyo katika mazingira na kama alivyobeba huyo jamaa.Na hata kama uko na mzungu,binafsi hawezi akanibebesha mtoto kwa mtindo huo,huku nikiosha vyombo.Imagine hapo mara vuuup wanakuja washkaji au ndugu au jamaa zako na wanakukuta katika hali hiyo,huku bibie kaweka miguu juu kwenye sofa anacheki ma episodes ya dr house!
anyway,tuko tofauti na kila mtu na afanye anachoona kinaifurahisha nafsi yake
 
Sasa ndugu unaposema tunaiga wazungu unamaanisha nini?Huoni kuwa huyo mtoto aliyebebwa ni chotara ikimaanisha kuwa huenda mama ni mzungu,au mwarabu.Kwa hiyo hapo haigi ndio maisha yenyewe hayo.

Ninamaanisha kuwa si utamaduni wa mwafrika kumsaidia mwnza wake.... Ebu nikuulize tu kidogo, samahani kama nitakuwa nimekosea ulishawahi kumwona baba yako mzazi akimsaidia mama yako kwenye kazi kama kuosha vyuombo, kufua nguo, kubeba mtoto n.k??? . Nahisi haya mambo ya kusaidiana yamekuja miaka ya karibuni, baada ya beijing meeting. Na nahisi ni zaidi kwa wale watu ambao wamesoma nje, au wamekaa sana na mchanganyiko wa watu, na kujifunza.

Kwa kweli mi nimewahi kumuona baba akifanya hayo. Na ni mkulima kabisaa wa kule Rombo hajawahi kwenda ulaya wala nini.

Tena enzi hizo tuna umri wa miaka minne mitano alikuwa anatuogesha, anatufulia nguo, mi nimefuliwa nguo na baba nikiwa darasa la nne, naona na macho yangu kabisa. Mama anaweza akawa anafanya mambo mengine baba yupo anapika, tena tulikuwa tunakiona chakula chake kitamu kama nini!!

Na hiyo imetujenga vizuri, sasa hivi hata kaka zangu wanapika vizuriiii,
Hakuna kusema huyu wa kike wala wakiume, tena enzi hizo tulikuwa na zamu kabisa, huyu anapika leo, kesho kuchota maji, kuosha vyombo, kuokota kuni nk nk nk.
 
We MHUBIRI ni mbinafsi sana!Swala la kufurahisha nafsi yako tu linaisha pale unapokua na mwenza!Hapo unatakiwa ujitahidi kufurahisha yake na yako..COMPROMISE is the word!!Mtoto wako mwenyewe huwezi kumwangalia?Siku mama yake akiumwa na hamna mtu mwingine wakusaidia itakuaje?Hatuko enzi za ujima bwana!Nenda na wakati!
 
We MHUBIRI ni mbinafsi sana!Swala la kufurahisha nafsi yako tu linaisha pale unapokua na mwenza!Hapo unatakiwa ujitahidi kufurahisha yake na yako..COMPROMISE is the word!!Mtoto wako mwenyewe huwezi kumwangalia?Siku mama yake akiumwa na hamna mtu mwingine wakusaidia itakuaje?Hatuko enzi za ujima bwana!Nenda na wakati!

Lizzy;nadhani hujasoma vizuri nilichoandika au pengine hujauelewa mtazamo wangu katika mahusiano.Sipingi dhana ya kusaidiana na mamsap,isipokuwa mtazamo wangu upo tofauti katika mazingira ya kusaidiana na namna ya kusaidiana.Kwanini kama nina mke niache kumsaidia,niache afanye kazi kama punda kisha akongoroke mapema,wakati yeye ndiye niliyempenda kuliko wengine wote??Lakini msaada wangu kwake ni lazima uwe na mipaka.Mfano;hataweza kunibebesha mtoto,huku naosha vyombo kama huyo jamaa wa kwenye picha,halafu yeye anapiga story na mashoga zake sitting room.HAPANA!Ukinisoma tena kwenye post yangu no 9,utaona nimesema wazi kuwa mtoto nitambeba.Ni mwanangu,kwanini nisimbebe?Nimetaja pia mifano ya kazi nyingine za nyumbani ambazo ningeweza kufanya ili kusaidiana na demu/mke wangu.
Bado wadhani mimi ni mbinafsi Lizzy??
 
Mhubiri kazi yoyote ile..na mazingira yoyote!Kwani akiwa na mashoga zake huwezi kumpa break kidogo?We ukiwa na wako anakuja kubanana na nyie sebleni?I don't think so!Ile dhana ya kuonekana bw.ege futeni bwana...be helpfull at all times just like we always are!
 
Mhubiri kazi yoyote ile..na mazingira yoyote!Kwani akiwa na mashoga zake huwezi kumpa break kidogo?We ukiwa na wako anakuja kubanana na nyie sebleni?I don't think so!Ile dhana ya kuonekana bw.ege futeni bwana...be helpfull at all times just like we always are!

ha ha ha mambo ya mume bwe ge hayo na wanawake wenyewe wa kibongo,yeye ndiye atakuwa wa kwanza kukuona bwe ge!
 
ha ha ha mambo ya mume bwe ge hayo na wanawake wenyewe wa kibongo,yeye ndiye atakuwa wa kwanza kukuona bwe ge!

Well kama ni mwelewa atajua unamsaidia tu ila kama ni mswahili ndo basi tena!Jaribuni lakini!
 
Hivi kwa mawazo yako, kuna kazi ambazo zimepangiwa kuwa hizi ni za mwanamke, na hizi za mwanaume??????? Na unaamini hapo kwenye nyekundu wana nafasi kubwa katika mahusiana ya wewe na mke wako????

Shiumiti;lakini kumbuka kuwa kuna roles za nyumbani ambazo unaeza sema ziko more musculine na nyingine inapendeza zaidi akifanya mama,kama pia unazingatia mila,desturi na utamaduni wa wahusika.Hapo kwa mfano mama angekuwa anafanya hiyo kazi ya kuosha vyombo,halafu mimi ningekuwa natoa vumbi kwenye carpet au napanga magunia ya mkaa store..Mtoto nitambeba,tena saana lakini siyo katika mazingira na kama alivyobeba huyo jamaa.Na hata kama uko na mzungu,binafsi hawezi akanibebesha mtoto kwa mtindo huo,huku nikiosha vyombo.Imagine hapo mara vuuup wanakuja washkaji au ndugu au jamaa zako na wanakukuta katika hali hiyo,huku bibie kaweka miguu juu kwenye sofa anacheki ma episodes ya dr house!
anyway,tuko tofauti na kila mtu na afanye anachoona kinaifurahisha nafsi yake
 
Mhubiri kazi yoyote ile..na mazingira yoyote!Kwani akiwa na mashoga zake huwezi kumpa break kidogo?We ukiwa na wako anakuja kubanana na nyie sebleni?I don't think so!Ile dhana ya kuonekana bw.ege futeni bwana...be helpfull at all times just like we always are!
Kwahiyo Lizzy utataka nimbebe mtoto na kuosha vyombo wewe ukiangalia TV ? mi napika,kusafisha nyumba na kupiga pasi lakini kuosha vyombo na nguo labda uwe mgonjwa au unataka ninyoshewe kidole mtaani ?
 
Kwahiyo Lizzy utataka nimbebe mtoto na kuosha vyombo wewe ukiangalia TV ? mi napika,kusafisha nyumba na kupiga pasi lakini kuosha vyombo na nguo labda uwe mgonjwa au unataka ninyoshewe kidole mtaani ?
Kumbe na wewe ni mkoloni ehh?Mbona ndoa yako itakua na kazi!Labda ukaoe kijijini!
 
pale kijijini kwetu jamaa alikuwa akifanya kazi kama hizo ili usiku asisukumwe na miguu walisema yake ilikuwa kubwa hivyo ilikuwa ni namna ya kubembeleza, hapo je haistahili kufanya hivyo?
 
Back
Top Bottom