bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
ckushangai sana! kaka zangu nyie wachaga nawajua sana, ndio zenu hizo ukimsaida wife unaona kama umetawaliwa vile, esp wa marangu.
heheeheeeeeee!!!!!
ckushangai sana! kaka zangu nyie wachaga nawajua sana, ndio zenu hizo ukimsaida wife unaona kama umetawaliwa vile, esp wa marangu.
kama na wewe umeni ignore sawa banaahalafu na wewe licha ya kukusihi vile umeondoa avatar ile jamani.............. mamiiiii mwenzio nilikuwa naimind sana..................... kale kamkia ka kichina kalikokuwa kanafukafuka mle ndani ya panties nitakaona wapi tena..................... hakuna tena raha ya kusoamapost zako, naona niungane na chris kukuweka kwenye ignore list.........................
mmmh, ndoa zingekuwa zinatunzwa ili zidumu kihivi kazi ingekuwepo
I once told him so!ovyo kabisa....mtu kama wewe ni maneno tu, unashikiliwa chini na mwanamke vibaya kabisa.
Very simple! Ndoa ya babu yangu ilikuwa hivi mpaka walipofariki. Ya baba yangu mpaka leo ipo na ya kwangu bado inachapa mwendo...
Ila hili la kufua makufuli yenu? Hapana jamani. Mnisamehe bure! Kama waifu anaumwa kiasi cha kushindwa kufua ntafanya shopping ya makufuli mpaka yaishe kwa shop. Ila kufua hapana!
You are right!hao ndio huleta mangumi kwenye ndoa zao bila kujua kwa sababu ya uvivu na kuiga mambo ya kizungu wakati wazungu wnyewe walishachanganyikiwa..............
kanza mumewe mstaarabu aliamua kuuchuna tu angekuwa jeuri angempa black and white on the spot na tu-makofi kidogo.................. tumsaidie kukumbuka next time....................
Ila yeye kufua ya kwako sawa siyo?Very simple! Ndoa ya babu yangu ilikuwa hivi mpaka walipofariki. Ya baba yangu mpaka leo ipo na ya kwangu bado inachapa mwendo...
Ila hili la kufua makufuli yenu? Hapana jamani. Mnisamehe bure! Kama waifu anaumwa kiasi cha kushindwa kufua ntafanya shopping ya makufuli mpaka yaishe kwa shop. Ila kufua hapana!
ckushangai sana! kaka zangu nyie wachaga nawajua sana, ndio zenu hizo ukimsaida wife unaona kama umetawaliwa vile, esp wa marangu.
Mi binafsi namsaidia wife, lakini siyo kwa kuloweka sidhani kama nguo za ndani zinatakiwa zichafuke kwa kiwango cha kuziloweka kutwa nzima
Na wewe ni vizuri ukajua kuna wanawake wengine hawachezewi, usijekuta unaenda wewe job na manundu,
heheeheeeeeee!!!!!
ovyo kabisa....mtu kama wewe ni maneno tu, unashikiliwa chini na mwanamke vibaya kabisa.
Anayewaambia chupi ikilowekwa ni chafu sana nani? kwa faida ya wote nisikilizeni. wanawake hawaloeki chupi kwa kuwa ni chafu au imevaliwa siku nyingi no, wanawake wengi wasaafi hupendelea kuvaa chupi nyeupe under normal circumstances, na ku take care nguo nyeupe yeyote apart from chupi lazima mara moja moja uwe unailoweka na omo au any detergent. Sasa kama umevaa chupi asubuhi ukarudi jioni kukailoweka kwenye maji ili kesho uifue ing'ae vizuri kuna uhusiano gani uchafu au kuvaliwa siku nyingi? baadhi ya wanawake si kama baadhi ya wanaume wanaoloweka tu kwenye maji na kupikicha kisha kuanika no, mwisho wa siku kama ni nyupe inakuwa ya brown.Mi binafsi namsaidia wife, lakini siyo kwa kuloweka sidhani kama nguo za ndani zinatakiwa zichafuke kwa kiwango cha kuziloweka kutwa nzima
Ishu ni kufua, hasa kufuli.ishu ni kufuli tu au unaweza kumsaidia kufua hata gauni?
Ni wajibu wakeIla yeye kufua ya kwako sawa siyo?
Umecheka kwa furaha au kwa kushangaa?heheeheeeeeee!!!!!
ishu ni kufuli tu au unaweza kumsaidia kufua hata gauni?
kama na wewe umeni ignore sawa banaa
Yeah, rare i agree. You are of your own type, disrespectiful of women, humiliator and bossy. Real men dont do that.mimi si mwanaume wa kichina mama, mi ni orijino.................... the finest and rare breed of men on earth.............................
Umecheka kwa furaha au kwa kushangaa?