Kusafisha uke kwa kidole hufanya uwe tight

Kusafisha uke kwa kidole hufanya uwe tight

Person my swahili is not my first language bt am trying my best so tht to be one of u ...utoko i think means any virginal discharge according to swahili articles forgive me if am wrong guys just wanted to knw if cleaning with fingers really works coz some says no

What is your first language cause clearly English isn't either. As for ur question what would really want to be answered coz u seem to already have the answer. This is kind of a very intimate and personal matter to be sought advised for at JF.
 
Kusafisha uke na kidole ni hatar sana kwa baadaye na hoi imejengenga kwa vile ya mazoea na makungwi ndo wanaharibu kabisa wasichana siku hizi maana kila MTU mwalimu kwenye masuala ya uchi n mapenzi sikuhizi.binafsi uchi huwa naamini hata ukisex ukienda kuoga ule uchafu unatoka tu japo polepole ila ukichuchumaa unarudi ninasafisha juu vizur na maji safi sabuni zitumii kabisa n sitoi harufu yoyote mbaya.ukimaliza unajikausha vizur na taulo safi mafuta na Nazi kama unapendelea.kama kuna uchafu bado utaukuta chupini ukija kuoga tena kama hakuna ndo basi.na uchi unakuwa kwenye hali nzur n mnato Wa asili.usidanganyike maumbile haya yanajitegemea kiusafi n kimbano n mnato kwa mumeo au mpnz labda kama unawengi halo lazima mauzauza ya kupate mwisho Wa siku cancer ya kizazi hii hapo.hakuna haja ya kujiingiza malinger.
 
Kusafisha uke na kidole ni hatar sana kwa baadaye na hii imejengenga kwa vile ya mazoea na makungwi ndo wanaharibu kabisa wasichana siku hizi maana kila MTU mwalimu kwenye masuala ya uchi n mapenzi sikuhizi.binafsi uchi huwa naamini hata ukisex ukienda kuoga ule uchafu unatoka tu japo polepole ila ukichuchumaa unarudi ninasafisha juu vizur na maji safi sabuni situmii kabisa n sitoi harufu yoyote mbaya.ukimaliza unajikausha vizur na taulo safi mafuta na Nazi kama unapendelea.kama kuna uchafu bado utaukuta chupini ukija kuoga tena kama hakuna ndo basi.na uchi unakuwa kwenye hali nzur n mnato Wa asili.usidanganyike maumbile haya yanajitegemea kiusafi n kimbano n mnato kwa mumeo au mpnz labda kama unawengi halo lazima mauzauza ya kupate mwisho Wa siku cancer ya kizazi hii hapo.hakuna haja ya kujiingiza malinger.
 
Dah! Kwa kweli nilipoiona sredi hii ile kuifungua nimepatwa na mabadiliko ya kiumbo fasta[emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Nikisoma tu sehemu yoyote ile neno uke dah akili huwaga inaruka kwa kweli yaani inakuwa haina ushirikiano na mwili

Napita tu


Elly siku hizi wadada wengi wanatembea na chemba za vyoo hahahaha kile kiharufu kile beberu anachokinusaga kile
 
Halafu bado mnatulazimisha tuzame chumvini,utoko wote uishie mdomoni,,mfyuuu
 
Salam wadaw...nlikuwa na swala zamani ambalo sijapata jibu kutokana na kila mtu na maoni yake sasa nimeshidwa kuelewa ni kipi sawa.nimejaribu kupeleka jf doc lakini hamna majibu inshort mimi nikisafisha uke kwa kidole na kutowa utoko uke wangu hubana sana tight unakuwa..na nikisafisha kwa juu tu na kuacha utoko ndani huwa nakuwa loose na harufu si nzuri hujitokeza.sasa ni kipi sawa kusafisha juu tu au kwa kidole???
Ukiona uke unatoa harufu ujue kuna shida mahali, pia the more unavyojichokonoa ndio wale walinzi wako wanavyojizalisha zaidi wakidhani kuna adui ameshambulia.

Mimi nakushauri yafuatayo
1. Acha kutumia pad za kunukia au manukato ya aina yoyote ukeni, ile harufu yako ya asili ndio inampa mzuka zaidi mwenzi wako.
2. Jitahidi kutumia zile sabuni maalum za kusafishia ukeni kama unaona ni muhimu sana kutumia sabuni.
3. Pendelea kunywa natural yogurt ili ikusaidie kubalance pH
4. Kama maeneo uliyopo kuna cranberry jitahidi uwe uwe unakula kwa wingi kama hamna nunua juice yake
5. Uwe unakula mananasi kila unavyoweza.
6. Kuhusu uke kubana uwe unafanya kegel
(kwani umetanuka na nini mwenzetu[emoji85] mpaka uhangaike hivyo)

Lakini ukiona bado tu uke wako unashindwa kujibalance na kurudia hali ya kawaida basi hakikisha unanuona gyno kwasababu ni wazi utakuwa na tatizo la kiafya

Usikose kuja kutupa mrejesho
 
Ukiona uke unatoa harufu ujue kuna shida mahali, pia the more unavyojichokonoa ndio wale walinzi wako wanavyojizalisha zaidi wakidhani kuna adui ameshambulia.

Mimi nakushauri yafuatayo
1. Acha kutumia pad au manukato ya aina yoyote ukeni, ile harufu yako ya asili ndio inampa mzuka zaidi mwenzi wako.
2. Jitahidi kutumia zile sabuni maalum za kusafishia ukeni kama unaona ni muhimu sana kutumia sabuni.
3. Pendelea kunywa natural yogurt ili ikusaidie kubalance pH
4. Kama maeneo uliyopo kuna cranberry jitahidi uwe uwe unakula kwa wingi kama hamna nunua juice yake
5. Uwe unakula mananasi kila unavyoweza.
6. Kuhusu uke kubana uwe unafanya kegel
(kwani umetanuka na nini mwenzetu[emoji85] mpaka uhangaike hivyo)

Lakini ukiona bado tu uke wako unashindwa kujibalance na kurudia hali ya kawaida basi hakikisha unanuona gyno kwasababu ni wazi utakuwa na tatizo la kiafya

Usikose kuja kutupa mrejesho
Ushauri namba sita mtoa mada atupe chanzo cha niniliu yake kutanuka

Nimependa ushauri wako mkuu na ukiufata kama ulivyomushauri asipopata mabadiriko

Bhasi ana matatizo hana budi kuwatafuta daktari
 
Ukiona uke unatoa harufu ujue kuna shida mahali, pia the more unavyojichokonoa ndio wale walinzi wako wanavyojizalisha zaidi wakidhani kuna adui ameshambulia.

Mimi nakushauri yafuatayo
1. Acha kutumia pad au manukato ya aina yoyote ukeni, ile harufu yako ya asili ndio inampa mzuka zaidi mwenzi wako.
2. Jitahidi kutumia zile sabuni maalum za kusafishia ukeni kama unaona ni muhimu sana kutumia sabuni.
3. Pendelea kunywa natural yogurt ili ikusaidie kubalance pH
4. Kama maeneo uliyopo kuna cranberry jitahidi uwe uwe unakula kwa wingi kama hamna nunua juice yake
5. Uwe unakula mananasi kila unavyoweza.
6. Kuhusu uke kubana uwe unafanya kegel
(kwani umetanuka na nini mwenzetu[emoji85] mpaka uhangaike hivyo)

Lakini ukiona bado tu uke wako unashindwa kujibalance na kurudia hali ya kawaida basi hakikisha unanuona gyno kwasababu ni wazi utakuwa na tatizo la kiafya

Usikose kuja kutupa mrejesho
Umesema tusitumie pad. Tupe mbadala wake tafadhali. Vitambaa au?
 
Ushauri namba sita mtoa mada atupe chanzo cha niniliu yake kutanuka

Nimependa ushauri wako mkuu na ukiufata kama ulivyomushauri asipopata mabadiriko

Bhasi ana matatizo hana budi kuwatafuta daktari
Atuambie tu ili tuone tutamsaidiaje hehehe

Asante sana mkuu
 
Usafi nimuhimu kwa mwanamke,kusafisha kwa kutia vidole ni nzuri sana sababau unatoa uchafu vizuri na pia kuna dawa nyengine unaweza kuweka mara 1 kwa week pia husaidia sana kuua vidudu....
 
rudi kwa mzazi wako yeyote wa kike akufunze kusafisha papuche ... km si mama, shangazi au wengineo kama huna kwenye mzazi hata kwenye magroup ya wasap panafaa.....unikishindwa kajiunge na group moja kule fb linaitwa makungwi.....wata kuafunzwa mpaka kunyonya dushe si kila mara msogoe


jf kila mara na mahabari ya nyuchi nyuchi nyuchi ngono sijui nn aghrrrrrrrrrrrr
Salam wadaw...nlikuwa na swala zamani ambalo sijapata jibu kutokana na kila mtu na maoni yake sasa nimeshidwa kuelewa ni kipi sawa.nimejaribu kupeleka jf doc lakini hamna majibu inshort mimi nikisafisha uke kwa kidole na kutowa utoko uke wangu hubana sana tight unakuwa..na nikisafisha kwa juu tu na kuacha utoko ndani huwa nakuwa loose na harufu si nzuri hujitokeza.sasa ni kipi sawa kusafisha juu tu au kwa kidole???
 
kupanuka kwa papuchi sidhani kama ni tatizo la kiafya ni mazoea ya kugegedwa mara kwa mara
 
Usafi nimuhimu kwa mwanamke,kusafisha kwa kutia vidole ni nzuri sana sababau unatoa uchafu vizuri na pia kuna dawa nyengine unaweza kuweka mara 1 kwa week pia husaidia sana kuua vidudu....
mh hivo vidonge sio vinafanya papuchi inakauka kama chapati iliokosa mafuta??
 
Back
Top Bottom