Kusafisha uke kwa kidole hufanya uwe tight

Kusafisha uke kwa kidole hufanya uwe tight

Ukiona uke unatoa harufu ujue kuna shida mahali, pia the more unavyojichokonoa ndio wale walinzi wako wanavyojizalisha zaidi wakidhani kuna adui ameshambulia.

Mimi nakushauri yafuatayo
1. Acha kutumia pad za kunukia au manukato ya aina yoyote ukeni, ile harufu yako ya asili ndio inampa mzuka zaidi mwenzi wako.
2. Jitahidi kutumia zile sabuni maalum za kusafishia ukeni kama unaona ni muhimu sana kutumia sabuni.
3. Pendelea kunywa natural yogurt ili ikusaidie kubalance pH
4. Kama maeneo uliyopo kuna cranberry jitahidi uwe uwe unakula kwa wingi kama hamna nunua juice yake
5. Uwe unakula mananasi kila unavyoweza.
6. Kuhusu uke kubana uwe unafanya kegel
(kwani umetanuka na nini mwenzetu[emoji85] mpaka uhangaike hivyo)

Lakini ukiona bado tu uke wako unashindwa kujibalance na kurudia hali ya kawaida basi hakikisha unanuona gyno kwasababu ni wazi utakuwa na tatizo la kiafya

Usikose kuja kutupa mrejesho
huu ndio uzuri wa kuwa na mwanamke mtaalamu na Mjuvi wa Mambo.. Sitaacha kukupenda mke wangu Jimena wa ibra87
 
Salam wadau,

Nilikuwa na swala zamani ambalo sijapata jibu kutokana na kila mtu na maoni yake sasa nimeshidwa kuelewa ni kipi sawa. Nimejaribu kupeleka JF Doctor lakini hamna majibu.

Inshort mimi nikisafisha uke kwa kidole na kutowa utoko uke wangu hubana sana (tight unakuwa), na nikisafisha kwa juu tu na kuacha utoko ndani huwa nakuwa loose na harufu si nzuri hujitokeza.

Sasa ni kipi sawa, kusafisha juu tu au kwa kidole?
Kisheria unapaswa kujisafisha kwa kutia kidole na kuosha kwa maji tu, na utoko haulegezi k bali manii ya mwanaume ndio ulegeza na kuacha harufu kama ya karo lilimwagiwa utumbo wa samaki, utoko wa kawaida hata ukiachwa hauna harufu kali ila ni vyema unapoenda kukojoa ukijisafisha unatia kidole japo mara moja tu nakusafisha safisha . NI KWELI INABANA, UKIITUNZA ITAKUTUNZA ha ha ha ha ha ha
 
mi nasikia dildo ndio kiboko yao,tumia dildo hakuna namna.
 
Usafi nimuhimu kwa mwanamke,kusafisha kwa kutia vidole ni nzuri sana sababau unatoa uchafu vizuri na pia kuna dawa nyengine unaweza kuweka mara 1 kwa week pia husaidia sana kuua vidudu....
Najuta kwann hata nmepita kwny huu uzi
 
Kusafisha uke na kidole ni hatar sana kwa baadaye na hoi imejengenga kwa vile ya mazoea na makungwi ndo wanaharibu kabisa wasichana siku hizi maana kila MTU mwalimu kwenye masuala ya uchi n mapenzi sikuhizi.binafsi uchi huwa naamini hata ukisex ukienda kuoga ule uchafu unatoka tu japo polepole ila ukichuchumaa unarudi ninasafisha juu vizur na maji safi sabuni zitumii kabisa n sitoi harufu yoyote mbaya.ukimaliza unajikausha vizur na taulo safi mafuta na Nazi kama unapendelea.kama kuna uchafu bado utaukuta chupini ukija kuoga tena kama hakuna ndo basi.na uchi unakuwa kwenye hali nzur n mnato Wa asili.usidanganyike maumbile haya yanajitegemea kiusafi n kimbano n mnato kwa mumeo au mpnz labda kama unawengi halo lazima mauzauza ya kupate mwisho Wa siku cancer ya kizazi hii hapo.hakuna haja ya kujiingiza malinger.

umeeleza vizuri sana kwa ufupi na umeeleweka. hii dhana potofu ya kua eti uke una wadudu, sijui wadudu gani hivyo usafishe kwa kutia kidole sijui watu wanaitoa wapi. wadudu walio kwenye uke ni wa kulinda uke na hawapaswi kutolewa.
wakiisha, utapata tatizo la fungus ambazo haziponi. I wish watu wangeelewa hili na kuacha kuchokonoa huko chini na vidole. harufu mbaya zinatokana na kujitia vidole eti kwa kusafisha na mwishowe ni cancer ya shingo ya kizazi
 
Mimi sioni ubaya mtoto mzuri kama huyu kuuliza. Dada,wewe fanya kile unakiona sahihi. Kwanza watoto wa kiislam wasafi bana. Wakienda msalani hujiosha na maji sio toilet paper.
Mimi nathni fanya utakalo as long as usiweke sijui mafuta,nk kwenye uke.Kujisafisha na maji.
wapi kasema yeye ni muislamu?
 
Usafi nimuhimu kwa mwanamke,kusafisha kwa kutia vidole ni nzuri sana sababau unatoa uchafu vizuri na pia kuna dawa nyengine unaweza kuweka mara 1 kwa week pia husaidia sana kuua vidudu....
Hiyo ni dawa gani pina nasikia kuna sabuni ya kusafishia uke inaitwaje hiyo?
 
Mumeo anapendeleaje, au mchepuko ndo unayemuwaza na Kuwa na hofu naye? Usikute hiyo harufu ndo inampaga stim Mumeo au la. Msome mumeo anatakaje. Ila nakushauri osha kwa juu.
 
Salam wadau,

Nilikuwa na swala zamani ambalo sijapata jibu kutokana na kila mtu na maoni yake sasa nimeshidwa kuelewa ni kipi sawa. Nimejaribu kupeleka JF Doctor lakini hamna majibu.

Inshort mimi nikisafisha uke kwa kidole na kutowa utoko uke wangu hubana sana (tight unakuwa), na nikisafisha kwa juu tu na kuacha utoko ndani huwa nakuwa loose na harufu si nzuri hujitokeza.

Sasa ni kipi sawa, kusafisha juu tu au kwa kidole?
 
Zen naomba nijibu Kiswahili kwa faida ya wengine pia wasioolewa kiingereza maana Kiswahili angalau kidogo unakijua.
kwanza kabisa naomba nikuhakikishie kua K ya mwanamke haina harufu mbaya, ina harufu ya kawaida ya K, wataalam wanasema harufu kwa mbali kama maji ya prawns. Unapokua na harufu tofauti na hii, basi kuna tatizo.
Utoko kama unavyouita mwenyewe ni ule weupe unaotoka kwenye K, mwanamke mwenye hii kitu ni dalili za uchafu. huo ndio wenye kuleta harufu isiyotakikana unapokaa ndani muda mrefu.
ni aibu kwa mwanamke ukutane na mwanamme halafu kuna kiharufu cha ajabu kinatoka huko chini kama uvundo.
hicho kinaashiria uchafu, na pia inam put off mwanamme. kutia kidole ndani haimaanishi ndio kujisafi vizuri, hapana. K ina unyevunyevu wa hujisafisha yenyewe. Unasafisha na kidole pale ambapo tu umekutana na mwanaume ili kutoa shahawa zilizobaki ndani, maana zisipotoka zote pia zinaleta harufu baada ya muda.
uanaposafisha kwa kidole K na kuhisi inabana sio kua imebana ila umetoa ule unyevunyevu ulio ndani ya K, kitu ambacho si kizuri, K inatakiwa iwe na unyevunyevu ambao unatokana na bacteria wavuzi wenye kulinda K yako.
malalamiko yamekua mengi wadada kutoka kwa wanaume juu ya uchafu wetu wanawake (japo na wap pia wako wachafu). Manywele kichwani, makwapa, chini ya maziwa, chini ya tumbo, pembezoni mwa K, hizi zote ni sehemu zenye kulundika uchafu na kuleta harufu hasa kwa jiji lenye joto kama Dar na kwa walio wanene. kutokana na maumbile yetu, tunaonekana kua wachafu zaidi ya wanaume, japo na wao kuna wenye harufu, japo ikisikika usipokua mwangalifu unatupiwa lawama wewe.
Nawakumbusha, K husafishwa na maji tu bila sabuni zenye chemicals. kuna sabuni maalum kwa ajili ya K, forever living na Oriflame wanazo, si kwa kutia ndani bali kusafisha kwa juu tu. kama huwezi ku afford, maji yanatosha. msipende kutia vidole mara kwa mara au sabuni ndani ya K, japo tunadanganyana sana kwenye makongamano ya wanawake tusafishe na kidole.
chonde chonge ladies, usikubali utoe harufu ya namna yoyote ile katika mwili wako, tusiwape nafasi hawa wababa kutusema kutwa kua sisi ni wachafu. Manywele kichwani yasikae muda mrefu, kwapa liwe safi kwa kuchoa mara kwa mara, deodorant please chini ya kwapa, chini ya maziwa kusafishwe kila unapooga, chini ya tumbo, pembeni kwa K na kunyoa kwa mkasi, nyuma katikati ya matako na hitimisho K yenyewe. chukua muda wa kutosha unapooga, kama asubuhi una haraka kwenda kazini, basi jioni tumia muda wa kutosha na maji ya kutosha kuweka mwili safi, hata kama uko mwenyewe. harufu za ajabu zina bore jamani, piga mswaki twice a day na kusafisha ulimi maana ndio wenye harufu kali.
Usafi wa mwanamke unahitaji kutulia sana, hapa nimeeleza kwa ufupi tu. Kwa mwenye kuhitaji maelezo kwa kirefu anaweza kuni inbox.
Zen natumaini umenielewa vizuri. kuna mazoezi ya kubana K yanafanyika kila asubuhi lakini si kwa kujisafisha kwa vidole. tuonane inbox kama unahitaji kujifunza.
In box unaingieje jamani jf?
 
Person my swahili is not my first language bt am trying my best so tht to be one of u ...utoko i think means any virginal discharge according to swahili articles forgive me if am wrong guys just wanted to knw if cleaning with fingers really works coz some says no
Ok. Pm me i have gift for you
 
Kusafisha na kidole ndiyo bora zaidi hivyo ndivyo mwanamke anatakiwa ajisafishe sehem za siri
 
Back
Top Bottom