Kusafisha nyota

Kusafisha nyota

mrembowangu

Member
Joined
Nov 20, 2013
Posts
25
Reaction score
8
Samahanini sana na sina uhakika kama hii topic inastahil kuwa jukwaa hili ila nimeweka huku sababu wataalam weng wa mambo most of time wapo available sana jukwaa hili
Back to topic, Hivi hii dhana ya kusema kwenda kusafisha nyota yako ili ufanikiwe katika mambo yako kama Kifedha, kikazi au hata kimapenzi inakuwaje? Na jee huko kwa mtaalamu anayekusafishia hyo nyota hamna mambo ya kafara yanaweza kufanyika?
Ni kitu kinaniumiza sana kichwa sababu anayehitaji kusafishiwa ni mtu wa karibu sana na nahofu kama kuna kafara mmoja wa familia akadhurika na kafara hiyo.
Please nisaidieni kwa mnaotambua juu ya hiyo kitu.
 
Inategemea unaenda wapi,
kanda ya kusini juu "makete +" mahitaji kafara ndugu wa karibu.
Visiwani,
ubani mauti.
Tanga,
maji ya maiti
msamvu la chole "uzaramuni"
shuka jeupe, jogoo, mchele.
Ukifanikiwa nami nistue nataka kugombea udiwani.
 
Inategemea unaenda wapi,
kanda ya kusini juu "makete +" mahitaji kafara ndugu wa karibu.
Visiwani,
ubani mauti.
Tanga,
maji ya maiti
msamvu la chole "uzaramuni"
shuka jeupe, jogoo, mchele.
Ukifanikiwa nami nistue nataka kugombea udiwani.

Teh Kule Mombasa ukitaka kusafisha nyota, lazima uwape njia yao wapite
 
nguvu za giza mafanikio lzm yaende na hasara jiandae kupoteza mmoja wa uwapendao ni weww mwenyewe hakuna mtu wa karibu wala nini
 
Inategemea unaenda wapi,
kanda ya kusini juu "makete +" mahitaji kafara ndugu wa karibu.
Visiwani,
ubani mauti.
Tanga,
maji ya maiti
msamvu la chole "
shuka jeupe, jogoo, mchele.
Ukifanikiwa nami nistue nataka kugombea udiwani.
Umenichekesha,Tanga maji ya maiti kwa mganga gani mzee Kambambovu chuda?
 
Usiamini upuuzi huu wakusafisha nyota. Kama unaamini Mwenyezi Mungu weka imani yako kwake, nae hataki mengi ila uwe mtu mwema na umuombe.
 
Katika mambo yako usihusishe waganga wa kienyeji wanaweza chukua hata kidogo ulichonacho.Mshirikishe mungu muweza wa yote.
 
Inategemea unaenda wapi,
kanda ya kusini juu "makete +" mahitaji kafara ndugu wa karibu.
Visiwani,
ubani mauti.
Tanga,
maji ya maiti
msamvu la chole "uzaramuni"
shuka jeupe, jogoo, mchele.
Ukifanikiwa nami nistue nataka kugombea udiwani.

udiwani tu? Hutaki cheo kikubwa zaidi?
 
Sali sana omba mungu.....mkabizi mungu maisha yako....
Hakuna kiumbe anaeweza kusafisha nyota ya mweñziwe ilhali yeye ana matatizo yake tele....
Mungu ndie mganga mkubwa....

Badala ya kufanya kafara wewe toa sadaka kwa wenye shida au mayatima....uone maajabu ya mungu....hata kama atachelewa kukupa lakini hakuna mja ombae lake kwa mungu akakoseshwa ni subra yako tu....

Wema hauozi....
 
udiwani tu? Hutaki cheo kikubwa zaidi?

mkuu,
vyeo vikubwa vimekua zaidi ya dhamana, ukienda kuzika shida, ukienda dubai shida, ukijisahau ukaingia hoteli kabisaa. Darubini mpaka unawaza nini, juu ya mbunge wa viti maalum!!
Udiwani unatosha.
 
Zama hizi bado kuna watu "matured" wanaamini katika nyota?

Kikombe hiki kiniepuke
 
"Bwana asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha Bwana." Yeremia 17:5

NB:
Hakuna linaloshindikana kwa Mungu, mtegemee Yeye tu na sio mwanadamu.
 
Samahanini sana na sina uhakika kama hii topic inastahil kuwa jukwaa hili ila nimeweka huku sababu wataalam weng wa mambo most of time wapo available sana jukwaa hili
Back to topic, Hivi hii dhana ya kusema kwenda kusafisha nyota yako ili ufanikiwe katika mambo yako kama Kifedha, kikazi au hata kimapenzi inakuwaje? Na jee huko kwa mtaalamu anayekusafishia hyo nyota hamna mambo ya kafara yanaweza kufanyika?
Ni kitu kinaniumiza sana kichwa sababu anayehitaji kusafishiwa ni mtu wa karibu sana na nahofu kama kuna kafara mmoja wa familia akadhurika na kafara hiyo.
Please nisaidieni kwa mnaotambua juu ya hiyo kitu.

Nani kakuambia kuna kitu kinaweza kushindikana ndani ya "Damu Ya Yesu"?.

Damu ya Yesu inavunja na kuharibu hila zote za shetani zilizopangwa juu yako, ikiwa ni pamoja na kufuta na kuondoa mapatano yote yaliyofanya kati yako na mizimu ili kukufanya usiweze kuendelea kimaisha.

Hivyo basi,
Mwambie mtu huyo "amwamini Yesu kwamba ndiyo nguzo na taa katika maisha yake kwani ndiye kiongozi hodari na asiyeshindwa kamwe". Pia akumbuke yakua "hakuna aliyemwendea yeye na kushinda kutimiziwa hitaji lake".
 
"Bwana asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha Bwana." Yeremia 17:5

NB:
Hakuna linaloshindikana kwa Mungu, mtegemee Yeye tu na sio mwanadamu.

dunia alipewa lucifer, ukihitaji vya duniani malaika wake wanakusafishia nyota mambo yako yanakuwa safi.
Kama unazijua kazi za malaika, zinaweza fanywa pia na hawa wa upande wa pili.
 
cha' mimi namtegemea Yesu tu, Yeye aweza yote.
Kama we ni mfuasi wa Lucifer endelea huo ni ushauri, una maamzi ya kuchukua au kuuacha.
 
Last edited by a moderator:
Pia waweza pata majini. Sikushauri uende huko.

hata mungu ana jini wake roho mtakatifu, kwa tafsiri safi yule nae ni jini kama wengine 2 walokole acheni kujipendelea kwa kukashifu imani za wenzenu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom