Kuruhusu watoto wenye mimba wakijifungua kuendelea na masomo sambamba na ongezeko la watoto wa mitaani, Serikali ijipange haswa

troiker

JF-Expert Member
Aug 18, 2019
1,429
2,264
Sikatai watoto wa kike kupata elimu ,lakini wasiwasi wangu jambo hili halikushirikisha wadau wa elimu ili kupata namna bora ya kulifanyia kazi .

Serikali ilijikita zaidi kwenye pesa za misaada na misaada yenyewe ndio haya mashariti.
Je kuchanganya hao watoto waliojifungua, na ambao bado hawajapata ujauzito ,haiwezi waathiri ambao hawajabeba ujauzito?

Kwani kuwachanganya wote ni kuleta ushawishi kwa ambao hawana ujauzito kuacha kuwa waoga kubeba mimba wakiamini nao watazaa na kunyonyesha na kurudi kusoma ,

Hii itasabisha uzazi holela na kujaza watoto wengi wa mitaani na kuipa serikali mzigo mzito.

Nafikiri wangetafutiwa namna nyingine ya kuendelea na masomo bila kuwachanganya kwenye mfumo rasmi .

Serikali wakati mwingine tuangalie maadili yetu kama taifa kuliko kutangaliza pesa inayosababisha kupangiwa mambo yetu ya kiutawala, leo hili la watoto wa kike ,kesho watakuja na lingine ili tuweze kupewa misaada,tuyumbishwa sana
 
Utapataje sasa pesa za bure zile za msaada alizokuwa kazuia Zitto Kabwe tusipewe! Mnapenda kitonga sasa kubalini kuishi na watoto wa Makoroboi Mwanza
 
Wenye UKIMWI wana shule zao!!!? Kama wenye ngoma wanachanganywa na wazima basi na waliozaa tusiwabague maana hawatupunguzii chochote,,Wenye ngoma wapo wanaopata bahati mbaya hivo hivo na mimba wapo wanaopata bahati mbaya,,,tuache ujinga tusichukue mila za makabila yetu na kuzifanya sera za Taifa
 
Hahaha
1.Na waotia mimba isiwe kesi wafikiriwe
2.Akipata mimba ya pili anakaa miwili nyumbani anarudi tena ahaaaa ya tatu je
Haya ndo mambo tunayotaka hahaha

Imenifanya nikumbuke kipindi nasoma kuna essay zilikuwa na point za pande mbili zote na zote ni strong point inategemeana na upande utakao amua kutetea mambo haya yana wachache jamani

#Watia mimba wanafunzi nao wafikiriwe kuja kulea watoto wao wasije watoto kukosa malezi ya baba na kama ni mwanafunzi asije kukosa elimu hitaji la msingi.

Ivi kwanini huwa wanafunga jela mzazi wa kiume tuu aha inakuwa kabaka sasa kama ni mwanafunzi(mzazi wa kiume ) bado inakuwa kabaka
 
Sikatai watoto wa kike kupata elimu ,lakini wasiwasi wangu jambo hili halikushirikisha wadau wa elimu ili kupata namna bora ya kulifanyia kazi .

Serikali ilijikita zaidi kwenye pesa za misaada na misaada yenyewe ndio haya mashariti.
Je kuchanganya hao watoto waliojifungua, na ambao bado hawajapata ujauzito ,haiwezi waathiri ambao hawajabeba ujauzito?
Kwani kuwachanganya wote ni kuleta ushawishi kwa ambao hawana ujauzito kuacha kuwa waoga kubeba mimba wakiamini nao watazaa na kunyonyesha na kurudi kusoma ,

Hii itasabisha uzazi holela na kujaza watoto wengi wa mitaani na kuipa serikali mzigo mzito.

Nafikiri wangetafutiwa namna nyingine ya kuendelea na masomo bila kuwachanganya kwenye mfumo rasmi .

Serikali wakati mwingine tuangalie maadili yetu kama taifa kuliko kutangaliza pesa inayosababisha kupangiwa mambo yetu ya kiutawala ,leo hili la watoto wa kike ,kesho watakuja na lingine ili tuweze kupewa misaada,tuyumbishwa sana
Sidhani kama Upo sahihi!!! Kwa mfano kwa serikali kuruhusu ARV kumekufanya wewe ufanye ngono zembe kila siku? If u think that is right then,? Let’s get rid ya walio n ngoma woteeeee then ndo tuzungumze way forward
 
Sikatai watoto wa kike kupata elimu ,lakini wasiwasi wangu jambo hili halikushirikisha wadau wa elimu ili kupata namna bora ya kulifanyia kazi .

Serikali ilijikita zaidi kwenye pesa za misaada na misaada yenyewe ndio haya mashariti.
Je kuchanganya hao watoto waliojifungua, na ambao bado hawajapata ujauzito ,haiwezi waathiri ambao hawajabeba ujauzito?
Kwani kuwachanganya wote ni kuleta ushawishi kwa ambao hawana ujauzito kuacha kuwa waoga kubeba mimba wakiamini nao watazaa na kunyonyesha na kurudi kusoma ,

Hii itasabisha uzazi holela na kujaza watoto wengi wa mitaani na kuipa serikali mzigo mzito.

Nafikiri wangetafutiwa namna nyingine ya kuendelea na masomo bila kuwachanganya kwenye mfumo rasmi .

Serikali wakati mwingine tuangalie maadili yetu kama taifa kuliko kutangaliza pesa inayosababisha kupangiwa mambo yetu ya kiutawala ,leo hili la watoto wa kike ,kesho watakuja na lingine ili tuweze kupewa misaada,tuyumbishwa sana


Kuna watu wataanza kulalamika watoto badala ya utamaduni. Lazima tukibali hasa kanda ya ziwa kuna utamaduni mbaya wa ndoa za utotoni. Ukiongea ukweli unaitwa mkabila lakini ukizingatia idadi ya watu wa kanda ya ziwa ni lazima utamaduni nao ubadilike na kukemewa bila woga. Raisi Samia ambaye kapewa u chief awaeleze wenzake
 
Back
Top Bottom