OMUSILANGA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 384
- 227
Mchana huu kurugenzi ya habari ikulu imekanusha taarifa ya Rais Kikwete kusaini posho za wabunge kufikia 330,000/ perdem kama ilivyo ripotiwa na gazeti la mwananchi. Source: Radho Cloudz.
Mchana huu kurugenzi ya habari ikulu imekanusha taarifa ya Rais Kikwete kusaini posho za wabunge kufikia 330,000/ perdem kama ilivyo ripotiwa na gazeti la mwananchi. Source: Radho Cloudz.
Nani anasema ukweli? Waziri mkuu au kurugenzi ya mawasiliano?