GE2025 Kurudisha fomu kwa Samia bado kitendawili

GE2025 Kurudisha fomu kwa Samia bado kitendawili

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Tume ipi?

Nenda kwenye katiba hakuna kitu inaitwa INEC.

Kila kitu kinachoendelea sasa kuhusu uchaguzi ni batili.
Au ndio maana hawajarudisha fomu mpaka sasa!!.

Au ndio ule mchakato wa Reforms unaendelea ili Chadema washiriki uchaguzi..
 
Kwa muda sasa Watanzania wameshuhudia wagombea mbalimbali wakichukua na hata kurudisha fomu zao za kugombea urais kupitia vyama vyao.

Lakini jambo la kushangaza ni ukimya mzito ndani ya CCM kuhusu lini Mwenyekiti wao na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, atarudisha fomu yake.

Kwa nini chama tawala hakitoi ratiba wala taarifa yeyote juu ya tukio hili kubwa linalogusa mustakabali wa taifa?

Au kimya hiki ni mkakati wa makusudi kutengeneza “surprise” kubwa ya kisiasa?

Je, mafukuto ya ndani ndio sababu ya kuchelewesha mchakato huu?

Wakati wagombea wengine wakisonga mbele, urudishwaji wa fomu ya Samia unaendelea kubaki kitendawili.

Wananchi tusubiri hadi lini kupata majibu?

Pia soma >> GE2025 - Mwenyekiti wa CCM, Samia Suluhu achukua Fomu ya Urais Oktoba 2025
Halijafa kwani?
 
CCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu, pigo moja tu, pigo lenye nguvu, pigo lililonyooka, pigo takatifu, asema Bwana wa Majeshi !!!!
 
Kwa muda sasa Watanzania wameshuhudia wagombea mbalimbali wakichukua na hata kurudisha fomu zao za kugombea urais kupitia vyama vyao.

Lakini jambo la kushangaza ni ukimya mzito ndani ya CCM kuhusu lini Mwenyekiti wao na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, atarudisha fomu yake.

Kwa nini chama tawala hakitoi ratiba wala taarifa yeyote juu ya tukio hili kubwa linalogusa mustakabali wa taifa?

Au kimya hiki ni mkakati wa makusudi kutengeneza “surprise” kubwa ya kisiasa?

Je, mafukuto ya ndani ndio sababu ya kuchelewesha mchakato huu?

Wakati wagombea wengine wakisonga mbele, urudishwaji wa fomu ya Samia unaendelea kubaki kitendawili.

Wananchi tusubiri hadi lini kupata majibu?

Pia soma >> GE2025 - Mwenyekiti wa CCM, Samia Suluhu achukua Fomu ya Urais Oktoba 2025
Lucas Mwashambwa na genge lake waje watupe majibu!!
 
Sa we nae mtu achukue form ashindwe irudisha wakat kura zishapigwa tayar yy anauhakika ni rais ajaye ni swala la muda tu
 
Nyumbu bwana, hakuogopa kuchukua fomu mbele ya vitisho vya yule njiti aliyebemendwa ndo aogope kurudishia?!!!! Shenzy type.......
Ninyi ndio mnaosababisha rais nae atukanwe, ya nini kuanzisha ligi ya matusi si ukomentu tuu kistaarabu?
 
Back
Top Bottom