CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
habari zenyu bhana. wana jamvi me kuna jambo huwa linanikera (samahan kama kuna mtu nitamkwaza) kuna ile kasumba ya kurithi jina. mf. et bibi yangu aliitwa tabu/shida then nami nikipata mtoto nimuite shida/tabu yan hili haliniingii akilini ukizingatia jina linaweza kuleta uhalisia wa maisha ya mtu. mara babu aliitwa masumbuko/matatizo afu nkipata mtoto wa kiume nimuite majina hayo. dah inawia vigumu kweli. sijui ninyi wanajamvi huwa mnalichukuliaje?? karibuni. . . .