Stephano Shahidi
Member
- May 28, 2023
- 55
- 63
Wadau, nilipost habar ya kureshwa kazini kipindi cha nyuma.
Kwa Sasa nimepata maelezo ya kunisisitizia nionapo tangazo niombe, Sasa nashindwa kuelewa sijui nimefanyiwa kiini macho au laa; kwa sababu ajira kutangazwa lazima kuwe na interview na mimi wananiambia niombe tangazo nilionapo.
Tufanye nimeomba wananiita kwenye usaili je nikifeli na mimi nilihitimu chuo enzi hizo itakuwa ni kureshwa gani huko.
Au tuseme nikiomba tu wananirejesha bila kuniita kwenye usaili au nitakapoitwa wananifanyia usaili nifeli nisifeli narejeshwa?
NB: Kumbuka naambiwa hiyo ni sehemu ya utaratibu wa kurejeshwa kazini.
Kwa Sasa nimepata maelezo ya kunisisitizia nionapo tangazo niombe, Sasa nashindwa kuelewa sijui nimefanyiwa kiini macho au laa; kwa sababu ajira kutangazwa lazima kuwe na interview na mimi wananiambia niombe tangazo nilionapo.
Tufanye nimeomba wananiita kwenye usaili je nikifeli na mimi nilihitimu chuo enzi hizo itakuwa ni kureshwa gani huko.
Au tuseme nikiomba tu wananirejesha bila kuniita kwenye usaili au nitakapoitwa wananifanyia usaili nifeli nisifeli narejeshwa?
NB: Kumbuka naambiwa hiyo ni sehemu ya utaratibu wa kurejeshwa kazini.