Kura za Dr. Magufuli dhidi ya Lowassa

Kura za Dr. Magufuli dhidi ya Lowassa

​Watanzania wengi leo wanajikuta wanashangilia bila kujua msingi wa Ushindi wa uchaguzi ni upi.

LOWASA
  • Lowasa anapata vikundi vya kumshangilia kwa kuwatumia wafuatao
  • Mzee Chizii (Mwizi wa Kura na mjanja wa kukusanya mikutano)
  • Gwajima (Kazi zake kwa sasa anafanyia Nigeria, ambapo Siku ya Jumapili hatoweza kufanya anayoyafanya sasa, kwani hata kanisani kwake hafanyi miujiza yoyote Jumapili)
  • Patel (wanagawa hela za watakaoigiza kuzimia, kudeki barabara nk)

DR. JOHN POMBE MAGUFULI
  • CCM ina wanachama rasmi waliojiandikisha kupiga kura 14,566,000
  • MAGUFULI Anafanya mikutano mikubwa wilaya zote nchi nzima
  • Mama Samia Sululu anafanya mikutano wilaya zote nchini
  • Jumuiya za chama (UWT, UVCCM, JUMUIYA YA WAZAZI) zinafanya kampeni kila kata
  • Magufuli club inafanya kampeni kila kata nchi nzima kila Club ina vijana wasiopungua 80 kila kata
  • Kampeni ya Mama Ongea na mwanao inapita wilaya zote nchi nzima
  • Kampeni ya timu Bajaji inapita mpaka majumbani kwa watu.
  • Watu wengi UKAWA wanamkubali MAGUFULI kuliko Lowasa


KWA KAMPENI ZA NAMNA HII NAMUONA MAGUFULI AKISHINDA KWA ASILIMIA NYINGI.
USIPOTEZE KURA YAKO
PIGA KWA MAGUFULI

Kampeni za ccm ziko juu sana hata kama ni chafu; mimi sioni kampeni ya maana UKAWA bali naona tu umati uliyoichoka ccm. Hilo pekee halitaipa UKAWA ushindi kwa namna yoyote ile. Huu ni mpambano kati ya wanasiasa na wanaharakati; sioni siasa ya aina yoyote pale UKAWA wao wasubiri kulia tu na kusingizia wameibiwa kura amabazo hazipo
 
Kampeni za ccm ziko juu sana hata kama ni chafu; mimi sioni kampeni ya maana UKAWA bali naona tu umati uliyoichoka ccm. Hilo pekee halitaipa UKAWA ushindi kwa namna yoyote ile. Huu ni mpambano kati ya wanasiasa na wanaharakati; sioni siasa ya aina yoyote pale UKAWA wao wasubiri kulia tu na kusingizia wameibiwa kura amabazo hazipo

Jidanganyeni tu..jpili ijayo tunawatahiri bila ganzi
 
mkapa kasema itakuwa aibu kubwa ccm ikishindwa , anajua hali ni ngumu
 
Waswahili wanasema haijalishi una nguvu kiasi gani, bali mbinu zako za kumzidi adui yako. Lakini kwa hili CCM ina nguvu na mbinu zaidi ya wapinzani wake

CHADEMA inagaragazwa kama mbwa koko aliyedokoa mboga kwenye nyumba ya jirani
 
It is too late to campaign now. The decision is already made. Call him (EL) anything, People's power shall decide.
 
Ndio maana niloona ule umati (Utitiri) pale mwanza jana nilimkumbusha rafiki yangu ambaye nilimweleza juu ya kura hizi za MAGUFULI akabaki anawaza kwa nini na yeye hakuwa mwenzangu na mimi toka awali japo alinihakikishia kuwa atampigia MAGUFULI kura
 
CCM ina wanachama rasmi waliojiandikisha kupiga kura 14,566,000

Mwanzo mlisema mnamtaji wa wanachama milioni 5, ghafla mna wanachama mara tatu zaidi..duh!

Dead end for ccm come October 25, 2015

Akili zao wanafanana na mwenyekiti wa chama akilala akiamka idadi ya watu wanaongezeka

Leo hii ukimuuliza jk idadi ya wapigakura atakuambia million sabini
 
[h=3]
996104_151306498556110_1293423744674114756_n.jpg
[/h]
12122859_151306555222771_6605844283788830850_n.jpg


12108814_151306521889441_6768983831935678155_n.jpg



12107217_151306561889437_8865779447943449430_n.jpg


Lowassa hafai kuwa Rais.
 
Magufuli kufika hata kila kijiji tz sio sababu ya kushinda
 
​watanzania wengi leo wanajikuta wanashangilia bila kujua msingi wa ushindi wa uchaguzi ni upi.

Lowasa
  • lowasa anapata vikundi vya kumshangilia kwa kuwatumia wafuatao
  • mzee chizii (mwizi wa kura na mjanja wa kukusanya mikutano)
  • gwajima (kazi zake kwa sasa anafanyia nigeria, ambapo siku ya jumapili hatoweza kufanya anayoyafanya sasa, kwani hata kanisani kwake hafanyi miujiza yoyote jumapili)
  • patel (wanagawa hela za watakaoigiza kuzimia, kudeki barabara nk)

dr. John pombe magufuli
  • ccm ina wanachama rasmi waliojiandikisha kupiga kura 14,566,000
  • magufuli anafanya mikutano mikubwa wilaya zote nchi nzima
  • mama samia sululu anafanya mikutano wilaya zote nchini
  • jumuiya za chama (uwt, uvccm, jumuiya ya wazazi) zinafanya kampeni kila kata
  • magufuli club inafanya kampeni kila kata nchi nzima kila club ina vijana wasiopungua 80 kila kata
  • kampeni ya mama ongea na mwanao inapita wilaya zote nchi nzima
  • kampeni ya timu bajaji inapita mpaka majumbani kwa watu.
  • watu wengi ukawa wanamkubali magufuli kuliko lowasa


kwa kampeni za namna hii namuona magufuli akishinda kwa asilimia nyingi.
Usipoteze kura yako
piga kwa magufuli

kutokana na tuhuma za magari ya kura za wizi wale waliokuwa wanaiunga mkono ccm wameamua kuipigia ukawa kura za ndio
 
​Watanzania wengi leo wanajikuta wanashangilia bila kujua msingi wa Ushindi wa uchaguzi ni upi.

LOWASA
  • Lowasa anapata vikundi vya kumshangilia kwa kuwatumia wafuatao
  • Mzee Chizii (Mwizi wa Kura na mjanja wa kukusanya mikutano)
  • Gwajima (Kazi zake kwa sasa anafanyia Nigeria, ambapo Siku ya Jumapili hatoweza kufanya anayoyafanya sasa, kwani hata kanisani kwake hafanyi miujiza yoyote Jumapili)
  • Patel (wanagawa hela za watakaoigiza kuzimia, kudeki barabara nk)

DR. JOHN POMBE MAGUFULI
  • CCM ina wanachama rasmi waliojiandikisha kupiga kura 14,566,000
  • MAGUFULI Anafanya mikutano mikubwa wilaya zote nchi nzima
  • Mama Samia Sululu anafanya mikutano wilaya zote nchini
  • Jumuiya za chama (UWT, UVCCM, JUMUIYA YA WAZAZI) zinafanya kampeni kila kata
  • Magufuli club inafanya kampeni kila kata nchi nzima kila Club ina vijana wasiopungua 80 kila kata
  • Kampeni ya Mama Ongea na mwanao inapita wilaya zote nchi nzima
  • Kampeni ya timu Bajaji inapita mpaka majumbani kwa watu.
  • Watu wengi UKAWA wanamkubali MAGUFULI kuliko Lowasa


KWA KAMPENI ZA NAMNA HII NAMUONA MAGUFULI AKISHINDA KWA ASILIMIA NYINGI.
USIPOTEZE KURA YAKO
PIGA KWA MAGUFULI

Wewe ni mgonjwa wahi hospitalini ukapimwe kama uwezo wako wa kufikiri uko sawa ili upate dawa mapema
 
​Watanzania wengi leo wanajikuta wanashangilia bila kujua msingi wa Ushindi wa uchaguzi ni upi.

LOWASA
  • Lowasa anapata vikundi vya kumshangilia kwa kuwatumia wafuatao
  • Mzee Chizii (Mwizi wa Kura na mjanja wa kukusanya mikutano)
  • Gwajima (Kazi zake kwa sasa anafanyia Nigeria, ambapo Siku ya Jumapili hatoweza kufanya anayoyafanya sasa, kwani hata kanisani kwake hafanyi miujiza yoyote Jumapili)
  • Patel (wanagawa hela za watakaoigiza kuzimia, kudeki barabara nk)

DR. JOHN POMBE MAGUFULI
  • CCM ina wanachama rasmi waliojiandikisha kupiga kura 14,566,000
  • MAGUFULI Anafanya mikutano mikubwa wilaya zote nchi nzima
  • Mama Samia Sululu anafanya mikutano wilaya zote nchini
  • Jumuiya za chama (UWT, UVCCM, JUMUIYA YA WAZAZI) zinafanya kampeni kila kata
  • Magufuli club inafanya kampeni kila kata nchi nzima kila Club ina vijana wasiopungua 80 kila kata
  • Kampeni ya Mama Ongea na mwanao inapita wilaya zote nchi nzima
  • Kampeni ya timu Bajaji inapita mpaka majumbani kwa watu.
  • Watu wengi UKAWA wanamkubali MAGUFULI kuliko Lowasa


KWA KAMPENI ZA NAMNA HII NAMUONA MAGUFULI AKISHINDA KWA ASILIMIA NYINGI.
USIPOTEZE KURA YAKO
PIGA KWA MAGUFULI

kachukue ubongo wako jamaa yuko stendi anataka kusepa nao usije ukawa kichaa kamili.
 
Back
Top Bottom