Kura za Dr. Magufuli dhidi ya Lowassa

Kura za Dr. Magufuli dhidi ya Lowassa

Ni utafiti nilioufanya ktk mikoa kumi ya Tanzania bara,kupitia mitandao ya kujamii na vyyombo vya habari na kugundua kuwa kura za Magufuri zinapungua na za Lowassa zinaongezeka na uchaguzi ukifanyika Leo Lowassa atashinda kwa kishindo
Hii haina ubishi, kwenye mitandao, Lowassa anashinda kwa mbali sana, ila ktk ballot box, Magufuli ana pumzi nyingi sanan.
 
Na tena zinaongezeka kutokana na kupandisha wendawazimu majukwaani kumnadi kama mshairi wa leo kwenye kampeni zake mwanza.

Huyu jamaa kula nyingine atakazopata zitakuwa za kuhurumiwa.note my word.
 
Sasa kama anashinda mbona unaweweseka kwenye sentesi ya mwisho?????
 
Na huo ndio ukweli.... Lowassa anashinda huu uchaguzi asubui na mapema
 
Ningekuwa nipo kitengo hapo lumumba nisingekupa hata hio 7000 kwa stori kama hio isiyo na uhalisia ambao kila mtu anaufaham kwa sasa.tuupuuze
 
Na tena zinaongezeka kutokana na kupandisha wendawazimu majukwaani kumnadi kama mshairi wa leo kwenye kampeni zake mwanza.
I
Huyu jamaa kula nyingine atakazopata zitakuwa za kuhurumiwa.note my word.

Mkuu type japo dokezo alisema ama alighani nini huyo mshairi wa MWANZA?
 
Kila mahali hasa kwenye makutano ya barabara vijiwe vya bodaboda na vituo vya mabasi kura za lowassa zinaongezeka kwa kwenda mbele. Karibia kila usafiri wa public aidha kuna picha ya lowassa au bendera ya upinzani.Kuna vijiwe vilikuwa na picha ya magufuli na mbunge wote wameondoa vimebali vibendera vichache vya kijani
 
​Watanzania wengi leo wanajikuta wanashangilia bila kujua msingi wa Ushindi wa uchaguzi ni upi.

LOWASA

  • Lowasa anapata vikundi vya kumshangilia kwa kuwatumia wafuatao
  • Mzee Chizii (Mwizi wa Kura na mjanja wa kukusanya mikutano)
  • Gwajima (Kazi zake kwa sasa anafanyia Nigeria, ambapo Siku ya Jumapili hatoweza kufanya anayoyafanya sasa, kwani hata kanisani kwake hafanyi miujiza yoyote Jumapili)
  • Patel (wanagawa hela za watakaoigiza kuzimia, kudeki barabara nk)

DR. JOHN POMBE MAGUFULI

  • CCM ina wanachama rasmi waliojiandikisha kupiga kura 14,566,000
  • MAGUFULI Anafanya mikutano mikubwa wilaya zote nchi nzima
  • Mama Samia Sululu anafanya mikutano wilaya zote nchini
  • Jumuiya za chama (UWT, UVCCM, JUMUIYA YA WAZAZI) zinafanya kampeni kila kata
  • Magufuli club inafanya kampeni kila kata nchi nzima kila Club ina vijana wasiopungua 80 kila kata
  • Kampeni ya Mama Ongea na mwanao inapita wilaya zote nchi nzima
  • Kampeni ya timu Bajaji inapita mpaka majumbani kwa watu.
  • Watu wengi UKAWA wanamkubali MAGUFULI kuliko Lowasa


KWA KAMPENI ZA NAMNA HII NAMUONA MAGUFULI AKISHINDA KWA ASILIMIA NYINGI.
USIPOTEZE KURA YAKO
PIGA KWA MAGUFULI




yani mtoa hii mada ni mssngerema kama siyo mfilwajikuntu
 
​Watanzania wengi leo wanajikuta wanashangilia bila kujua msingi wa Ushindi wa uchaguzi ni upi.

LOWASA

  • Lowasa anapata vikundi vya kumshangilia kwa kuwatumia wafuatao
  • Mzee Chizii (Mwizi wa Kura na mjanja wa kukusanya mikutano)
  • Gwajima (Kazi zake kwa sasa anafanyia Nigeria, ambapo Siku ya Jumapili hatoweza kufanya anayoyafanya sasa, kwani hata kanisani kwake hafanyi miujiza yoyote Jumapili)
  • Patel (wanagawa hela za watakaoigiza kuzimia, kudeki barabara nk)

DR. JOHN POMBE MAGUFULI

  • CCM ina wanachama rasmi waliojiandikisha kupiga kura 14,566,000
  • MAGUFULI Anafanya mikutano mikubwa wilaya zote nchi nzima
  • Mama Samia Sululu anafanya mikutano wilaya zote nchini
  • Jumuiya za chama (UWT, UVCCM, JUMUIYA YA WAZAZI) zinafanya kampeni kila kata
  • Magufuli club inafanya kampeni kila kata nchi nzima kila Club ina vijana wasiopungua 80 kila kata
  • Kampeni ya Mama Ongea na mwanao inapita wilaya zote nchi nzima
  • Kampeni ya timu Bajaji inapita mpaka majumbani kwa watu.
  • Watu wengi UKAWA wanamkubali MAGUFULI kuliko Lowasa


KWA KAMPENI ZA NAMNA HII NAMUONA MAGUFULI AKISHINDA KWA ASILIMIA NYINGI.
USIPOTEZE KURA YAKO
PIGA KWA MAGUFULI




Nimekuandalia bonge la tusi, sema nimekusitiri coz wewe ni msengenyaji tu huna lolote
 
Lowassa habari ingine mazee anashinda asubuhi na mapema,kama hawaamini hii nguvu yote itumiwayo na watu wa CCM kina January Makamba,Familia nzima ya Kikwete nk sijapata kuiona before sijui Kikwete ana madeal gani ambayo hataki Lowassa akiingia atayafahamu na kumfilisi.Aisee kama mtakubaliana na mimi huu uchaguzi haujawahi kutokea.Kikwete alitumia nguvu yake ya uenyekiti wa Chama kumtosa Lowassa akijua Lowassa ataendelea kubaki CCm na kupotea kabisa kisiasa lakini Mungu kamtoa kule na kumpeleka Chadema aisee Kikwete alitamani ardhi ipasuke aingie ndani maake hakutegemea kabisa ndio maana leo hii wanahaha kunasua hii issue na kila wafanyacho kinakuwa out fasta hamuoni Lowassa kuwa Chadema ni mpango wa Mungu na huwezi shindana na mpango wa Mungu never ever
 
Na tena zinaongezeka kutokana na kupandisha wendawazimu majukwaani kumnadi kama mshairi wa leo kwenye kampeni zake mwanza.

Huyu jamaa kula nyingine atakazopata zitakuwa za kuhurumiwa.note my word.

kama angejua matusi yanavyo mshushia kula wala asinge wapa nafasi wapande jukwaan
 
Unanikumbusha sana wakati wa vita vya uganda na iraq, marais amin na sadam waliamua kutembea na mitambo ya kurushia matangazo wakiwa mafichon, wakati hali inaonekana kuwaelemea wao wanawatangazia wananchi kuwa ushindi ni kesho, sote tunajua yaliyowasibu. ccm kuweni wakweli au la mkae kimya. hali kwenu c shwari ila kwa kuwa mmezoea propaganda bac cc yetu macho trh 25 c mbali......

Tena wote waliobeza kama wewe watatupwa kuleèee wakilia na kusaga meno
 
Watanzania wengi leo wanajikuta wanashangilia bila kujua msingi wa Ushindi wa uchaguzi ni upi.

LOWASA

  • Lowasa anapata vikundi vya kumshangilia kwa kuwatumia wafuatao
  • Mzee Chizii (Mwizi wa Kura na mjanja wa kukusanya mikutano)
  • Gwajima (Kazi zake kwa sasa anafanyia Nigeria, ambapo Siku ya Jumapili hatoweza kufanya anayoyafanya sasa, kwani hata kanisani kwake hafanyi miujiza yoyote Jumapili)
  • Patel (wanagawa hela za watakaoigiza kuzimia, kudeki barabara nk)

DR. JOHN POMBE MAGUFULI

  • CCM ina wanachama rasmi waliojiandikisha kupiga kura 14,566,000
  • MAGUFULI Anafanya mikutano mikubwa wilaya zote nchi nzima
  • Mama Samia Sululu anafanya mikutano wilaya zote nchini
  • Jumuiya za chama (UWT, UVCCM, JUMUIYA YA WAZAZI) zinafanya kampeni kila kata
  • Magufuli club inafanya kampeni kila kata nchi nzima kila Club ina vijana wasiopungua 80 kila kata
  • Kampeni ya Mama Ongea na mwanao inapita wilaya zote nchi nzima
  • Kampeni ya timu Bajaji inapita mpaka majumbani kwa watu.
  • Watu wengi UKAWA wanamkubali MAGUFULI kuliko Lowasa


KWA KAMPENI ZA NAMNA HII NAMUONA MAGUFULI AKISHINDA KWA ASILIMIA NYINGI.
USIPOTEZE KURA YAKO
PIGA KWA MAGUFULI




Sishangai Bogazi Kama Wewe Maana Ndio Mazao Chama Kinacho Wazalisha Kwa Sasa. Wewe Siyo Mtu Wa1 Kukejeli Maana Hata Kanal Muar Gadafi Ali Waita Wananchi wake Mende Lakini Mwisho Wa Siku Mende Wakaangusha Kabati. Mwisho Wenu Ni Jumapili, Mtatafuta Shuguli Za Kufanya.
 
Utajua tu kwamba anawashangiliaji au vp.magamba bwana
 
​Watanzania wengi leo wanajikuta wanashangilia bila kujua msingi wa Ushindi wa uchaguzi ni upi.

LOWASA
  • Lowasa anapata vikundi vya kumshangilia kwa kuwatumia wafuatao
  • Mzee Chizii (Mwizi wa Kura na mjanja wa kukusanya mikutano)
  • Gwajima (Kazi zake kwa sasa anafanyia Nigeria, ambapo Siku ya Jumapili hatoweza kufanya anayoyafanya sasa, kwani hata kanisani kwake hafanyi miujiza yoyote Jumapili)
  • Patel (wanagawa hela za watakaoigiza kuzimia, kudeki barabara nk)

DR. JOHN POMBE MAGUFULI
  • CCM ina wanachama rasmi waliojiandikisha kupiga kura 14,566,000
  • MAGUFULI Anafanya mikutano mikubwa wilaya zote nchi nzima
  • Mama Samia Sululu anafanya mikutano wilaya zote nchini
  • Jumuiya za chama (UWT, UVCCM, JUMUIYA YA WAZAZI) zinafanya kampeni kila kata
  • Magufuli club inafanya kampeni kila kata nchi nzima kila Club ina vijana wasiopungua 80 kila kata
  • Kampeni ya Mama Ongea na mwanao inapita wilaya zote nchi nzima
  • Kampeni ya timu Bajaji inapita mpaka majumbani kwa watu.
  • Watu wengi UKAWA wanamkubali MAGUFULI kuliko Lowasa


KWA KAMPENI ZA NAMNA HII NAMUONA MAGUFULI AKISHINDA KWA ASILIMIA NYINGI.
USIPOTEZE KURA YAKO
PIGA KWA MAGUFULI

Propaganda za kijinga at work. Jipeni matumaini fake. kazi mwaka huu mnayo.
 
Back
Top Bottom