Hawa waheshimiwa wote ni wanachama wa chama cha siasa, chadema. Zito anasaka urais, Slaa anaombwa na chama. Hata hivyo huo muda bado, kwa nini Zito asisubiri muda ufika, Kama kweli anafaa si ajabu safari hii akaombwa yewe, au wote wakaombwa halafu wakashindanishwa ndani ya chama. Kama Zito anausaka uraisi kwa hali na mali, anakaribishwa atimize ahadi yake CHAUMA au ADC.