Lawrence Luanda
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 703
- 77
duuuuu 2015 mbali...................
kura yangu ni kwa zitto kabwe.kumpa kura slaa labda awe kalani wa mahakama maana siwezi chagua mtu anayefanya kazi kwa kusikiliza majungu na kwa sasa anaendesha chama kwa nguvu ya mchumba wake josephine mshumbuzi.kumchagua slaa ni sawa na kuipa laana nchi yangu maana huyu mzee kila kitu kachelewa mpaka mapenzi kayajulia uzeeni
Slaa akipitishwa uchaguzi mkuu chadema itashiriki tu na wala sio kushinda maana wanachadema hatumkubali wala nn afu kigezo cha umri hapo ndo mnakosea kabisa maana ukiangalia hata historia ya maraisi wanaochukua madaraka wakiwa vijana uongozi wao unakuwa ni mzuri sana mfano Kagame na Gaddaf waliochukua nchi wakiwa na umri wa chini ya miaka 30.
Badilikeni 2achane na ukaskazini wanachadema lasi ivo 2tarudi nyuma!