Makyomwango
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 322
- 79
Tuache kelele nyingi, kama ungepewa mamlaka ya kumteua kati ya Zitto Zuberi Kabwe ama Wilbroad Peter Slaa kugombea nafasi ya urais mwaka 2015. Ni nani ungemteua? Na Kwa Nini? Toa sababu kuu nne TU.
Jamani huu ni ulinganifu usiyo wa haki. Haiwezakani Kulinganisha milma Kilimanjaoro (Dr Slaa) na Mlima Sekenke (zito).
let's be fair wajameni!