Serikali 3 ni muhimu kuliko mke wangu.
Mambo ya Rais wa Zanzibar na Tanganyika yasikupe tabu kiongozi kinachomata hapa ni serikali 3 zipite arafu tuje tutengeneze katiba ya Tanganyika sasa hao marais tutakuwa na mjadala tuiweke vipi.
Mbona kuna Rais wa serikali ya vyuo nchini anamajeshi? Rais wa chama cha walimu anamajeshi?
Mambo ya Rais wa Zanzibar na Tanganyika yasikupe tabu kiongozi kinachomata hapa ni serikali 3 zipite arafu tuje tutengeneze katiba ya Tanganyika sasa hao marais tutakuwa na mjadala tuiweke vipi.
Mbona kuna Rais wa serikali ya vyuo nchini anamajeshi? Rais wa chama cha walimu anamajeshi?