Litvinienko
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 313
- 105
Na gongoSiamini chochote kinachozungumzwa na polisi wa tanzania labda kesi za wzi wa kuku..
Na gongoSiamini chochote kinachozungumzwa na polisi wa tanzania labda kesi za wzi wa kuku..
Huyo ndo ACP Msangi Jambazi Polisi alimteka na kumpiga Ulimboka kwa maelekezo ya Kova na Mkuu wa magogoniNdo huyu!? au huyu ndo Msangi!!!?
Katika hali ya kawaida wange-retrive numba za simu zilizowasilaiana na Ulimboka mpaka anatekwa wangeshamkamata mtu aliyetengeneza huu mkakati lakini kwa makusudi kabisa wameamua kufanya mambo ya kihuni ili kuwahadaa watanzania. Hakuna kitu hapo hayo ni maigizo tu.
Mtaambiwa munamsingizia kwasababu ni muislam,kesi iko mahakamani na mtuhumiwa "alitokea kanisani"kweli ccm kwa mimuvi ya kichina!