'' kura '' ndiye muamuzi wa mwisho juu ya katiba.

mandella

JF-Expert Member
Oct 29, 2011
3,048
3,227
Enyi Wajumbe wa bunge maalumu la katiba .

Sioni haja ya nyie kuendelea kubishana , kutukanana na kuzira vikao vya bunge . Mamilioni ya kodi ya wananchi yanapotea bure .

Hayo yote yaachwe kwani mwamuzi wa mwisho ni kura , hata pande zinazozana zipigane pale bungeni ,lakini mwisho wa siku ni kura ndicho kitakacho amua ni nn kinastahili kukaa kwnye Katiba .

Baada ya hapo pia watanzania wataamua wenywe ni nini wanakihitaji .Mpaka sasa Watanzania tushajua ni nn kinacho endelea juu ya muundo wa serikali ,wala hatuhitaji Mikutano tena .

Kaeni chini malizeni kuandaa Katiba ,iletwe kwa wanaanchi na wao ndio watakao amua ni kipi hasa wanataka.

Msifanye katiba ya nchi kua ni katiba ya kutetea na kulinda maslahi ya vyama vyenu.

Msiendelee kuonyesha mapungufu yenu kila kukicha.. tumechoka na bunge hilo maalumu la katiba.
 
Enyi Wajumbe wa bunge maalumu la katiba .

Sioni haja ya nyie kuendelea kubishana , kutukanana na kuzira vikao vya bunge . Mamilioni ya kodi ya wananchi yanapotea bure .

Hayo yote yaachwe kwani mwamuzi wa mwisho ni kura , hata pande zinazozana zipigane pale bungeni ,lakini mwisho wa siku ni kura ndicho kitakacho amua ni nn kinastahili kukaa kwnye Katiba .

Baada ya hapo pia watanzania wataamua wenywe ni nini wanakihitaji .Mpaka sasa Watanzania tushajua ni nn kinacho endelea juu ya muundo wa serikali ,wala hatuhitaji Mikutano tena .

Kaeni chini malizeni kuandaa Katiba ,iletwe kwa wanaanchi na wao ndio watakao amua ni kipi hasa wanataka.

Msifanye katiba ya nchi kua ni katiba ya kutetea na kulinda maslahi ya vyama vyenu.

Msiendelee kuonyesha mapungufu yenu kila kukicha.. tumechoka na bunge hilo maalumu la katiba.

Wana-UKAWA wana hofu ya kushindwa huko Bungeni! Halafu kitu ambacho kingewasaidia ni zile kura za wazi ambazo pia walizikataa! Kura za wazi zingeonesha nani kapiga kura gani, hivyo wangejiosha kama kweli wananchi wanataka Serikali 3!
 
Hakuna tena cha katiba mpya ,wavunje ,wachawanyike kulia ,klia chawanyika ,tutasubiri raisi mwenye nia njema ya kubadilisha katiba si mwenye utashi wa chama ,mtu ambae anahistoria ya kudai tatu kisha akarudi akakazania mbili ,unamfikiri mtu huyu utamueka kundi gani.
 
Watatunga Katiba ya CCM badala ya ile ya wananchi na kura itakuwa ya kuipigia NDIYO au HAPANA. Then watachakachua matokeo ionekane kuwa wengi wamepiga kura ya ndiyo. Afadhali wazalendo wa kweli waondoke kungali mapema, wasishiriki dhambi hiyo!
 
Back
Top Bottom