Siri Sirini
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 547
- 198
Habari, mimi nina tatizo la kunenepa kila nizaapo, nina watoto 3, na wote nimewazaa kwa operation, na mtoto akianza kunyonya nami naanza kunenepa, ila nikiwa na mimba nakonda sana kwa ajili ya kuumwa, sasa watu wananiambia nifanye diet, nami cjui kama kuna diet wakati unanyonyesha, na tumbo langu kubwa, je naweza funga baada ya mda gani? Huyu mwanangu ana miezi 9, naombeni msaada kama naweza punguza tumbo na mwili wakati nanyonyesha.