Kupoteza vyeti

Torquemada

JF-Expert Member
Oct 17, 2020
231
257
Wakuu habarini

Nimepoteza cheti cha form four na cha kuzaliwa

Nimeshindwa kufanya registration wakuu

Naomba mnipe mawazo, nina stress mpaka nahisi kufa.

Dirisha la usajili ndio hilo linafungwa
 
Wakuu habarini

Nimepoteza cheti cha form four na cha kuzaliwa

Nimeshindwa kufanya registration wakuu

Naomba mnipe mawazo, nina stress mpaka nahisi kufa.

Dirisha la usajili ndio hilo linafungwa


Unatakiwa ukatoe taarifa polisi juu ya upotevu baadaye mambo mengine hufuatia kama vile kupata uthibitisho wa elimu yako kutoka katika vyombo vinavyohusika na elimu kwa ajili ya registration nk.
 
Unatakiwa ukatoe taarifa polisi juu ya upotevu baadaye mambo mengine hufuatia kama vile kupata uthibitisho wa elimu yako kutoka katika vyombo vinavyohusika na elimu kwa ajili ya registration nk.
Ila tuna mfumo mbovu sana kwenye hili suala la upotevu wa vyeti.

Kama taarifa zangu yaani matokeo yangu yapo mtandaoni na index namba nilitumia kuombea chuo na mkopo, washindwe kweli kuthibitisha ndio mimi?
 
Ila tuna mfumo mbovu sana kwenye hili suala la upotevu wa vyeti.

Kama taarifa zangu yaani matokeo yangu yapo mtandaoni na index namba nilitumia kuombea chuo na mkopo, washindwe kweli kuthibitisha ndio mimi?


Pole sana, usikate tamaa and put your prayers and trust firmly on God in this time of hardship and He will help you to get your certificates.
 
Pole sana Mkuu.! Jaribu kupita kwenye vituo vya Bajaji hiyo barabara uulizie huenda mwenye Bajaji naye alijaribu kutangaza au kutafuta mwenye vyeti .! Pole mkuu
 
Ahsante mkuu!

Vilikuwa kwenye bag la PC, niliviacha kwenye bajaji

Simfahamu dereva anapaki wapi lakini alinichukua akiwa anaenda mwenge.

Chuoni hawana namna ya kunisaidia kusajiliwa kweli?
Duh pole sasa kwani si una hata copies za hivyo vyeti? Ujaribu kuwacheki chuo nahisi kama wataweza kukusaidia registration kwa kutumia hizo.then ufanye hatua zinazohitajika kama kwenda polisi for loss report then utangaze kwenye gazeti sijui ndiyo uende Baraza la mitihani.
 
Huyo dereva wa bajaji ulimcheki vizuri usoni?,nasikia bashite anaendesha Bajaj siku hizi na kama umevisahau kwenye Bajaj yake, hiyo ndio imetoka
 
Wakuu habarini

Nimepoteza cheti cha form four na cha kuzaliwa

Nimeshindwa kufanya registration wakuu

Naomba mnipe mawazo, nina stress mpaka nahisi kufa.

Dirisha la usajili ndio hilo linafungwa
Nenda polisi utoe taarifa, then uende necta wakupe uthibitisho wa cheti. Necta hawakupi cheti kingine ila watakupa uthibitisho wa kupeleka chuo ili usajiliwe
 
Back
Top Bottom