Torquemada
JF-Expert Member
- Oct 17, 2020
- 231
- 257
Wakuu habarini
Nimepoteza cheti cha form four na cha kuzaliwa
Nimeshindwa kufanya registration wakuu
Naomba mnipe mawazo, nina stress mpaka nahisi kufa.
Dirisha la usajili ndio hilo linafungwa
Nimepoteza cheti cha form four na cha kuzaliwa
Nimeshindwa kufanya registration wakuu
Naomba mnipe mawazo, nina stress mpaka nahisi kufa.
Dirisha la usajili ndio hilo linafungwa