Kupoteza maono ya macho

OCC Doctors

Senior Member
Jul 20, 2018
104
151
Kupoteza maono ya macho (Acute Vision Loss) kwa kawaida hutokea ndani ya dakika chache hadi siku kadhaa. Inaweza kuathiri jicho moja au yote mawili au sehemu ya uga wa kuona.

Sababu kubwa za kupatwa na dalili za kutoona vizuri ni mtengano mdogo wa safu ya seli za vipokea picha (retinal detachment).

Sababu zingine ni uharibifu unaoathiri mishipa ya macho au njia za kuona, kuharibika kwa miundo ya kawaida ya uwazi ambayo miale ya mwanga hupita hadi kufikia safu za vipokea picha (retina), kilinda jicho (cornea), na giligili ya jicho (vitreous).

Snapinsta.app_286607245_535121318154176_7388520157717227391_n_1080.jpg
 
mm nna changamoto ya kutokuona vzr mfano mty anaweza kaa mbele yangu mita kama 5 lkn kumuona usoni sura yake nakua sion vzr nakua kama naona ukungu flan hv je hii inaweza kuwa nn dokta maana najitfta niende hosptali ila naomba muongozo wako kwanza hapo
 
Kupoteza maono ya macho (Acute Vision Loss) kwa kawaida hutokea ndani ya dakika chache hadi siku kadhaa. Inaweza kuathiri jicho moja au yote mawili au sehemu ya uga wa kuona.

Sababu kubwa za kupatwa na dalili za kutoona vizuri ni mtengano mdogo wa safu ya seli za vipokea picha (retinal detachment).

Sababu zingine ni uharibifu unaoathiri mishipa ya macho au njia za kuona, kuharibika kwa miundo ya kawaida ya uwazi ambayo miale ya mwanga hupita hadi kufikia safu za vipokea picha (retina), kilinda jicho (cornea), na giligili ya jicho (vitreous).

View attachment 2734591
Umeeleza matatizo hukueleza utatuzi wa hayo matatizo.
 
Back
Top Bottom