loupa
Senior Member
- Jul 22, 2016
- 124
- 78
Habari zenu ndugu zangu
Mimi ni wakala wa e- money (airtelmoney, m-pesa)
Hii kazi tangu niianze Leo ni siku ya tano tu
*Sasa Jana numekutana na kitu kimenikosesha usingizi kabisa.
*Katika kubalance hesabu cash+flot nimegundua kiasi cha sh.80,000/kimepotea. Baada ya kuwashirikisha baadhi ya watu wakasema ni CHUMAULETE
Sasa Naomba mwenye uelewa na hili
Natanguliza shukrani kwa maoni yenu
Ahsanteni
Mimi ni wakala wa e- money (airtelmoney, m-pesa)
Hii kazi tangu niianze Leo ni siku ya tano tu
*Sasa Jana numekutana na kitu kimenikosesha usingizi kabisa.
*Katika kubalance hesabu cash+flot nimegundua kiasi cha sh.80,000/kimepotea. Baada ya kuwashirikisha baadhi ya watu wakasema ni CHUMAULETE
Sasa Naomba mwenye uelewa na hili
Inafanyaje kazi?Je hii CHUMAULETE IKOJE?
Nifanye nini kujilinda na tatizo hili?
Natanguliza shukrani kwa maoni yenu
Ahsanteni